Mndwyika.wetu
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 652
- 829
Wanao shabikia ccm ni either
Wanamasilahi,
Kama hana masilahi zezeta au kama hana yote hapo juu Nyumbu
Wanamasilahi,
Kama hana masilahi zezeta au kama hana yote hapo juu Nyumbu
Mimi nakerwa zaidi kijana kushabikia upinzani ni sawa na mtoto anayeshabikia hawara ya mama yake badala ya baba yake
Hahaa hv mtu kama makufuli anweza kuleta mabadilizo kwel kama umeshindwa kuyaleta ndan ya nyumba utaweza kutuletea ss.ww kijana unaeishabikia ccm azima utakuwa unamaslah nayo.wanapita pita maskan kutushawish lakin hawawez mm nishawachana jitu likija na elfu ishirin yake nitajua nitakavyolifanya .pumbaaaàav
Nikimuona kijana below 45 anashabikia CCM, wale mnaojua hoja zao zisivyo na mshiko najikuta kukasirika.
Jamani watu wengine wameumbwa na bongo za polepolee sana za kuelewa na kusoma alama za nyakati.
Hakuna mtu dunia ninayemchukua kama Lowassa asije akatufanya sisi kama wajinga.kama mchafu kwa nini serikali haimfunguli mashitaka au serikali nayo ni chafu wanaogopa
Si kosa lako! Shule yenyewe ya vitabu vya akina Nyangwine independent mind utaipata wapi? Mambo ya nchi huyajui, conspiracies zinazorun dunia 0 utaelewa nini?Nikimuona kijana below 45 anashabikia CCM, wale mnaojua hoja zao zisivyo na mshiko najikuta kukasirika.
Jamani watu wengine wameumbwa na bongo za polepolee sana za kuelewa na kusoma alama za nyakati.
Nikimuona kijana below 45 anashabikia CCM, wale mnaojua hoja zao zisivyo na mshiko najikuta kukasirika.
Jamani watu wengine wameumbwa na bongo za polepolee sana za kuelewa na kusoma alama za nyakati.
Si kosa lako! Shule yenyewe ya vitabu vya akina Nyangwine independent mind utaipata wapi? Mambo ya nchi huyajui, conspiracies zinazorun dunia 0 utaelewa nini?
Umesikia watu wanasema hivyo na wewe ukadakia. Kwa taarifa yako kijana vijana wafuatiliaji wa kweli wapo pande zote za siasa za taifa hili. Unafuata maneno ya akina Mbowe na wenzake bila kupima unapotoka zaidi na huenda hutalijua hilo hadi pale utakapopata akili ya kuchambua mambo. Mbowe na familia yao walishanufaika na wanaendelea kunufaika Lowasa anataka urais kwa faida yake na Masters wake, ashinde asishinde Mbowe na familia yake inaongeza vyanzo vya fedha kupitia ruzuku. Wewe umelishwa maneno CCM CCM, CCM ya Mkapa na Kikwete zimefanana? Kama CCM ni issue unampataje Edo kuwa mkombozi wa taifa ndani ya wiki mbili tangu akose tiketi ya CCM na awe na sifa zote nzuri?
Unakasirika Nini?Kwani Maana Ya Demokrasia Hujui?Hivi Ni Nani Alipaswa Kukasirika Zaidi Kati Yako Wewe Au Wale Walioazima Masikio Yao,wakapoteza Mda Wao Kusikiliza Kupokea Na Kuamini Mtu Fulani Ni Mchafu,halafu Leo Walewale Tuliowaazima Muda Wetu Na Masikio Yetu Wanageuka Na Kumfuata Yuleyule Waliotuambia Mchafu?
Mabadiliko yatoke kwa Sumaye na Lowassa? Are you serious?
CHADEMA ni sehemu ya kukimbilia wazee wa CCM waliochokwa ndani ya CCM. It's a place for serial political and money fraudster kama Lowassa na Sumaye.
Nashangaa kijana kushabikia ujinga na upumbavu kutoka kwa wapiga deal kama Mbowe.
wew ni wa kupima. kwa hiyo unawaza wote wana akili kama zako? wanaojielewa hawawezi kuunga mkono umoja usiojielew wa UKAWA... maana naona ni CHADEMA. labda niongezee napata mashak sana kwa mwanachama halali wa CUF, NCCR na NLD kuamini UKAWA itawanufaisha... ni heri hata hili liCCM tunalijua kuliko kumkabiz Fisi akalishe mifugo shambani.
Mimi nakerwa zaidi kijana kushabikia upinzani ni sawa na mtoto anayeshabikia hawara ya mama yake badala ya baba yake
Nikimuona kijana below 45 anashabikia CCM, wale mnaojua hoja zao zisivyo na mshiko najikuta kukasirika.
Jamani watu wengine wameumbwa na bongo za polepolee sana za kuelewa na kusoma alama za nyakati.
Unataka kusema vyamavilivyoko nje ya umoja "mtakatifu" wa ukawa viko sahihi?