Asclepius
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 694
- 729
Nasumbuliwa na gono mwezi wa tatu sasahivi nilienda clinic nikachoma sindano usaha ukawa hautoki tena, nikawa fresh kabisa baada ya wiki mbili nikafanya mapenzi nilitumia condom fresh kabisa, asubuhi nilipo amka nikawa naisi maumivu sehemu zangu za pumbo nikavumilia kama siku mbili nikaenda tena clinic MR Doctor akanipa tena doz ya sindano na vidonge, baada ya wiki mbili nikajihisi nimepona kama kawaida nikafanya tena mapenzi nilitumia condom sema asubuhi nilipo amka nikawanaona kitu kama maji maji mazito meupe yanatoka kwenye ume wangu nikaenda tena clinic nikachoma sindano mpaka leo hii maji maji bado yanatoka Tu.
Me nadhani kuna haja ya kumaliza dozi na pia ukienda hospitali waambie ufanye kitu kinaitwa culture and sensitivity itasaidia kujua huyo mdudu dawa gani inamuondoa kwa asilimia zote