Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nasumbuliwa na gono mwezi wa tatu sasahivi nilienda clinic nikachoma sindano usaha ukawa hautoki tena, nikawa fresh kabisa baada ya wiki mbili nikafanya mapenzi nilitumia condom fresh kabisa, asubuhi nilipo amka nikawa naisi maumivu sehemu zangu za pumbo nikavumilia kama siku mbili nikaenda tena clinic MR Doctor akanipa tena doz ya sindano na vidonge, baada ya wiki mbili nikajihisi nimepona kama kawaida nikafanya tena mapenzi nilitumia condom sema asubuhi nilipo amka nikawanaona kitu kama maji maji mazito meupe yanatoka kwenye ume wangu nikaenda tena clinic nikachoma sindano mpaka leo hii maji maji bado yanatoka Tu.

Me nadhani kuna haja ya kumaliza dozi na pia ukienda hospitali waambie ufanye kitu kinaitwa culture and sensitivity itasaidia kujua huyo mdudu dawa gani inamuondoa kwa asilimia zote
 
Vidonda via tumbo dawa yake ni Nini dr please reply

Vidonda vya tumbo mara nyingi havitibiki ila inategemea na kisababishi chake kama ni bacteria utapewa dawa zitakazomuondoa huyo mdudu na kukupa afadhali pia kuna dawa za kupunduza acid na kadha wa kadha
Cha muhimu fuata management ulopewa na daktari wako ili vidonda visizidi kuongezeka ukubwa
 
Habari yako,

Nina tatizo la kuwashwa kwa korodani miaka mitatu na nusu sasa.

Nimetumia dawa creams za hospital, pils za anti fungal, dawa za asili nyingi mno sijapona..

Nimemuambukiza kipenzi mke wangu pia.

Sijawahi kuchepuka na sijui chanzo ni nini.

Ugonjwa nilianza kuupata nilipokwenda safarini dsm mwaka 2016 February..

Nifanye nini niweze kupona kabisa????

Kafanye culture and sensitivity wanaweza jua dawa gani ni effective
Na kutokana na kua umetumia dawa nyingi za kila aina pengine wadudu wamekua sugu na dawa
And by the way anza na either flucanozole au griseofulvini wakati unaendelea kufanya hiyo test niliyokuambia
 
Hello habari yako...

Pole sana na majukumu..

Nipo hapa kuwasilisha tatizo langu.
Nimeamka asubuhi naenda chooni haja kubwa najisaidia choose cheusi. Najiandaa kwenda kazini najihisi kizunguzungu. Natoka nyumbani nafika njiani napata kizunguzungu macho yanaona giza naishiwa nguvu na kutapika maji kama meusi hivi. Na sometimes kila nikitapika holaa.

Mkuu mpaka hapo tatizo nini...
Naomba muongozo kiongozi

Kutakua na tatizo kwenye mfumo wako wa umeng’enyaji nenda hospitali kwa maelezo zaidi
 
Polen na majukum wakuu . Ninatatizo la pre-mature ejaculation & nakumbhka o-level nlikuwa mwanachama wa chaputa 6years ago sasa ni victim wa pre-ejaculation naomba msaada. Mazoez nafanya sana
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana.

A



B


C


D


E



F
Naomba msaada niliumia mkono kwenye maungio nikafungwa p.o.p kwa wiki 4 sasa Jana wametoa lakini mkono bado auko vizuli naomba kama kuna dawA naweza kutumia picha apo chini za X ray na mkono ulivyo sasa
Screenshot_20181220-152951.jpeg
IMG_20181220_104509.jpeg
 
Kafanye culture and sensitivity wanaweza jua dawa gani ni effective
Na kutokana na kua umetumia dawa nyingi za kila aina pengine wadudu wamekua sugu na dawa
And by the way anza na either flucanozole au griseofulvini wakati unaendelea kufanya hiyo test niliyokuambia
griseofulvin nimeitumia miezi miwili but hamna mabadiliko
 
Kafanye culture and sensitivity wanaweza jua dawa gani ni effective
Na kutokana na kua umetumia dawa nyingi za kila aina pengine wadudu wamekua sugu na dawa
And by the way anza na either flucanozole au griseofulvini wakati unaendelea kufanya hiyo test niliyokuambia
Mkuu sifahamu Culture and sensitivity ni nini....nipe maelezo zaidi
 
griseofulvin nimeitumia miezi miwili but hamna mabadiliko

Unapoitumia hakikisha unakula vyakula vyenye mafuta kwa wingi ili iweze kufanya kazi, vinginevyo utakua unaitumia kama kiburudisho tu. Kama hayo yote umezingatia na haijasaidia basi inaweza tatizo lako lisiwe fungal infection
 
Unapoitumia hakikisha unakula vyakula vyenye mafuta kwa wingi ili iweze kufanya kazi, vinginevyo utakua unaitumia kama kiburudisho tu. Kama hayo yote umezingatia na haijasaidia basi inaweza tatizo lako lisiwe fungal infection
Mkuu, Naweza kupima hii kitu? vipimo gani? Maana nimeenda kwa Dermatologist Muhimbili, haja propose kuhusu vipimo, ananipa dawa tu hizo cream
 
Nikila chakula naskia kutapika. Ingawa nimeshawahi tapika mara 3 Tuu hizo nyingine najizuia na hali hii hutokea wakati wa kula tuu iwe asubuh,mchana au jioni.

Nilienda hospital nikapewa dawa za minyoo lakini hakuna mafanikio, ni mwezi wa sita sasa hii hali ipo kwangu.

Mwenye uwezo wakunisaidia nini tatizo anisaidie au kama kuna mtu aliewahi kumbana na tatizo kama hili pia anaweza akashare na mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaharisha tu maji maji bila tumbo kuuma...sasa nimetumia 'loperamide' wakati huo huo nina dose ya kifua ya Koflyn(Diphenhydramine) pamoja na amoxlyn(Antibiotics)...

Sasa naona mafua yameanza mpaka macho yanauma nikifumbua sana...na kifua ndio kama kawaida...sasa nahofia kunywa hiyo dose yangu...nikihofia REACTION itakayotokea...na diclofenac ya maumivu pia nimepewa...

Sasa ninafanyaje...maana dawa ni nyingi sana...je hakuna madhara yoyote yatakayotokea...?

NB: NI JANA NIMETOKA KITUO CHA AFYA WAMEPIMA MALERIA UTI HAKUNA SASA...WAKANAMBIA NIRUDI WACHECK LABDA NA TYPHOID...ILA KIFUA TU NDIO WAKANIANDIKIA HIZO DAWA(wakati huo kuharisha kulikuwa bado...maana kumeanza usiku huu).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diazepam iko classified kama benzodiazepinederivate. Benzodiazepines zinajiunga kwenye receptor mwilini iliyopo kwenye ubongo inayoitwa GABA-receptor.

Na inasababisha muongezeko wa inflow ya chloride ions kwenye nervecells.Matokeo yake inapooza baadhi ya parts za ubongo. Hali hio inaweza kuleta;

Pshycological effects
: Nazo ni anxiety withdrawal au sedative effect (kusaidia mwili urelax kama mfano unatakiwa kufanyiwa surgical procedure)

Hypnotical effect:
Inachosha ubongo kwahio inaweza kutumika kama sleeping inducer (dawa ya usingizi), Au inaweza kutumika kama muscel relaxer na kusaidia na cramps/spasms!
Samahan Nina tatizo najihis homa pia kichwa kinauma pia joto limepanda tatizo nn
 
Back
Top Bottom