Najaribu kuwaza Nakaaya Sumari atakuwa na hali gani kwa sasa, hasa baada ya kuanza kushuhudia kwa macho yake maana halisi ya Peoples Power, nakushuhudia mabesti zake almost wote wakiingia mjengoni!!
Si hivyo tu, lakini pia anavyoshuhudia baba yake Jeremiah Sumari akipelekwa puta na kijana mdogo wa miaka 24 mwanafunzi wa chuo kikuu huko Arumeru Magharibi.
Namhurumia sana huyu dada masikini jamani...tujaribu kuwasiliana naye, labda atakuwa anahitaji TOBA!
Najaribu kuwaza Nakaaya Sumari atakuwa na hali gani kwa sasa, hasa baada ya kuanza kushuhudia kwa macho yake maana halisi ya Peoples Power, nakushuhudia mabesti zake almost wote wakiingia mjengoni!!
Si hivyo tu, lakini pia anavyoshuhudia baba yake Jeremiah Sumari akipelekwa puta na kijana mdogo wa miaka 24 mwanafunzi wa chuo kikuu huko Arumeru Magharibi.
Namhurumia sana huyu dada masikini jamani...tujaribu kuwasiliana naye, labda atakuwa anahitaji TOBA!
Huyu nae Kigeugeu kama kinyonga ...wala hatuna muda nae tena aende zake
Mkuu PJ
unajua kitu kinachowashobokeza mabinti wasiofundwa vyema ni MPINI.
sasa ameona matokeo yanavyompelekesha puta buzi lake.
USALITI ni jambo baya sana
Najaribu kuwaza Nakaaya Sumari atakuwa na hali gani kwa sasa, hasa baada ya kuanza kushuhudia kwa macho yake maana halisi ya Peoples Power, nakushuhudia mabesti zake almost wote aliowatelekeza wakiingia mjengoni!!
Si hivyo tu, lakini pia anavyoshuhudia baba yake Jeremiah Sumari akipelekwa puta na kijana mdogo wa miaka 24 mwanafunzi wa chuo kikuu huko Arumeru Magharibi.
Namhurumia sana huyu dada masikini jamani...tujaribu kuwasiliana naye, labda atakuwa anahitaji TOBA!
te te te te te teh kwani mkwere alikuonga sh ngpi dada?