Najuta sana

Najuta sana

NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KWA WALE MSI00NA...

MPK JI0NI NITAWAPA MREJESH0, KWA KIASI MAMB0 YANAMEKUWA BULL BULL..

MNA0P0NDA MIE KUTUMIA MKONG0 NI WAPUUZI SANA,KILA MTU HUMU DUNIANI ANA KAUPUUZI KAKE,(ila situmii tena)

NIMEWAPA STORY NZIMA BILA KUFICHAFICHA MAMB0...

WENGINE MNA0SEMA NIMELIWA PIA NI WAJINGA INAMAANA HAMKUS0MA VIZURI,NANI KASEMA NIMELIWA..?

KUNA WATU WAMET0A USHAURI MZURI SANA HUMU NA NDI0 NIMEUFANYIA KAZI JAP0 NIMEJIT0A UFAHAMU...(BIG UP JAMIIFORUMS) MAMB0 YA KUPEANA USHAURI HAKUNA INSTAGRAM WALA FACEBOOK ILA HUKU JF UNAP0NDWA,UNATUKANWA ILA NA USHAULI UNAPEWA...

ILA Y0TE KWA Y0TE MKE WA MTU SUMU,VIJANA KAMA UNAJUA UNATEMBEA NA MKE WA MTU ACHA YATAKUKUTA MAKUBWA ZAIDI YA YANGU.. IMAGINE NISINGEENDA NUNUA CHAKULA INGEKUWAJE??WANGENIKUTA NDANI MULE DAH SAA HII MALINDA YANGU YANGEKUWA YAMEFUMUKA,NAKUNYA OVYO,TAK0 L0TE LAINIIIIIII,NI PWAAA PWAAA PWAAAA...

KUNA MI WATU INAJADILI MIMI KUANDIKA 0 BADALA YA o Hahah YANI ZER0 KWENYE o PIA NI LA KUKASIRIKA...OVYOO KABISAA...

KWA WALE WASHENZI MLI0SEMA HII NI CHAI MTAJUA WENYEWE,MLITAKA NISEME (wale jamaa walinikuta wakanila tak*) BASI HAP0 NDI0 MNGESEMA HII SI0 CHAI...PUMBAVU

ALL IN ALL NIMEJUTIA HILI NA HALITAJIRUDIA KABISA...
 
NIMERUDI KUMALIZIA...

YA MWISH0...

Basi bwana Nikawahi zangu daladala Ili kwenda h0me,Aisee nyege izi acheni ziitwe nyege Yani Dereva Nilimu0na kama Anaendasha Md0g0md0g0 Akili yangu Ilijaa Ufuska Hakika Yule Binti Aliniteka Akili...

Nikiwa katika Gari nilikuwa nawaza Jinsi Nitakavy0mkunja kunja Yule mt0t0,Nitamla kwasababu sijamgusa mwezi na siku kadhaa Kwasababu mumewe Alikuwep0,Hatimae nikafika Home nikafungua geti nikazama ndani,Nilipitiliza mpk ndani kwangu,Nikawahi bafuni ili kufungua LEMBA langu Nililil0fungia MK0NG0,Nika0ga Kisha nikatuma txt kwa binti kuwa nisharudi Nip0 kwangu...

Ile txt haikujibiwa Nika0na si0 kesi,Nikavaa Taul0 langu Nikakaa siting room Kwangu Nikizuga zuga kuchek TV Jap0 Hata sielewi naangalia nini...Kama Nusu saa Malang0 wangu Ukafunguliwa Akaingia Yule Binti Akiwa Amevaa Ngu0 flani ivi Lainiii ambay0 inach0ra vyema Umb0 lake(Nightdress Mnaitaga) Akanifata huku Akitabasamu,Na0mba Nikili jamb0 Kuhusu Yule binti,Kwanza alikuwa anaushawishi sana Kihisia Yani kumu0na tu Dyudyu Imesimama Yani daaah Acheni tu Kuna wanawake humu duniani wameumbiwa Utamu Utamu...

Basi Tulisalimiana kid0g0 tu,Kikafata kifuatach0 ITV, Ali0nesha amenimiss mana Hakunipa Time ya kuzungumza,Kafunua Taul0 Akachukua KIBAMIA CHANGU Akaanza kukitafuna,Kupinduana sana,Nilipiga sh0w kama nimefunguliwa kut0ka jela,MKONG0 ukifanya kazi yake Ba0 la kwanza Huchukua hata lisaa(Muhimu uwe na OLIVE OIL ili Kufanya mamb0 yawe pambe kurainisha Uke mana kufanya mapenzi dakika 50 au lisaa sio mchez0)

Basi Tulizagamuana sana mule ndani,Siting Room na Chumba kulinuka ng0n0,Baada ya ku0na kila mtu kat0sheka tukaanza piga mast0ry ya mwezi mzima na siku kadhaa kipindi ambach0 hatukuwa pam0ja..Nilimuuliza Kuhusu mzee labda Ali0na mabadilik0 y0y0te Alisema Hapana Alikuwa kawaida tu Hakuna mabadilik0...

Tulipika pakua kwa muda wote mzee alip0kuwa hayup0 mpk kufika Tarehe 22/2/2023 Yaani juzi Hapa...

Ilikuwa usiku wa saa mbili ivi nilikuwa nae ndani kwake I mean kwenye chumba cha mzee wake Nikimzagamua Baada ya kulana aliniambia Hawezi kupika mana hana nguvu iv0 niende Barabarani Kuchukua ms0si nikasema DUA nikavaa Pensi langu na Vesti Nikat0ka Barabarani,Nikanunua chips kuku Na kaEneji Ya m0 Ili Kuji0nd0lea uch0vu,Sasa nikiwa narudi karibu na h0me na0na Kuna gari linakunja Kwenye Geti la nyumba.....Nikajibanza sehemu ili Nijiridhishe kwa kile nilich0ki0na,Aiseee Ni gari la mzee Na alishuka nikamu0na LIVE na Hakushuka Peke Yake Alikuja na Jamaa Watatu Jumla na mzee ni wanne...

Kichwa kiliwaka m0t0 kiasi flani,Waliingia ndani Huku Gari wakiwa wameliacha Njee Ya geti,Nikasema Siendi kwanza acha ni0ne Kuna nini,Maana mzee mb0na amewahi hata kurudi hata miezi miwili haijaisha Pia Why Arudi na watu tena mbavu Vilee...

Nilikaa njee kama dakika 30 ivi,Mara Geti Likafunguliwa akat0ka Kijana mm0ja kati ya wale watatu Akapanda gari akaliingiza ndani,Baada ya hap0 kukawa kimyaaa Sikujua ndani kunaendelea nini na nilikuwa na h0fu sikutaka kuingia ndani, iv0 Nilijikalia njee Nikipigwa na baridi...

Nilikaa njee mpk saa 5 usiku Nikiwa nawaza niingie au nisiingieee?Nawaza kama mzee Alistuka na alikuja na wale vijana kwaajiri yangu Sinitakuwa nimeisha mimi...Nilifikilia MATAK0 YANGU nika0na hapana siingii...

Mida ya saa 6 ivi nikiwa zangu njee Tena mbali kidogo na maene0 ya pale h0me ikaingia txt Kut0ka kwa binti ikisema ivi...NANUKUU: Mdig0 Usirudi Hapa nyumbani,Kimbia mbali uwezavy0 Mana Mume wangu amejua kila kitu kuhusu mimi na wewe na Ushahidi wa vide0 ana0,Amenipiga sana ila kasema Haniachi ila wewe Ndi0 Utakuwa mke mwenzangu,Kimbia...

Nimedata sana,Niliwaza mengi Sana,Nikawasiliana na jamaa angu kuwa nataka Hifadhi Akakubali,kwakuwa Nilikuwa na Kama buku 7 mfuk0ni nikaita b0da Anipeleke kwa jamaa angu Ila Sikutaka b0da Ajue ninap0enda iv0 tulivy0kalibia Akaniacha njiani Nikamalizia safari mwenyewe kwa mguu...

Nilifika kwa huyu jamaa angu (ninap0kaa mpk sasa ivi ninavyo typ) Nilikuwa na mawaz0 sana Nilimsimulia jamaa angu vy0te vilivy0jiri Siku Hi0(Kuhusu mahusian0 yetu na yule binti anajua mana nilimwambiagq na yeye ndi0 ananipaga mkong0)

Nililala Nikaamka Nikidhani nitakuta hata missed call au Txt kutoka kwa mzee au binti ila wapi,Txt z0te ni za PATAPATA na CHOTA MIHELA...Nilikaa kwa jamaa angu Nikiwa navaa ngu0 za jamaa angu,Mana vitu vyangu vy0te niliacha kule kwenye chumba changu...

Siku ya jana Nilipigiwa simu na yule binti akasema wale vijana wanalala ndani kwangu Mimi(chumbani kwangu) Wananing0ja,Na anawapikia yeye Tena UGALI, Asubuhi wanafanya maz0ezi kwenye paking mule mule ndani wanakimbia kimbia yani daah...

Le0 Asubuhi Yule mzee kanipigia sijap0kea Ila akatuka txt Akisema NITAJUTA KUZALIWA

Ushauri wenu jamani:Kiufupi mi nataka vitu vyangu vy0te mana hata j0b sijaenda tangu litokee hili mana Ngu0 zangu za kazini zip0 mule mule ndani..!Vitu Vyangu Nilijihimu kununua,Vyeti vya shule n.k Hata ule MKONGO wangu Up0 mule mule ndani...

Nilijaribu ku0mba msada somewhere Ila nikaambiwa hili jamb0 zit0 sana mana linaushidi mpk wa vide0...Kila nikiingia Instagram nawaza Naweza kuta Connection Yangu basi Nadata....

Yule binti Hapatikani tangu asubuhi mpk sasa iv0 sijui nini kinaendelea...

#MDIG0 #B13
Mdogo umeyakanyaga
 
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KWA WALE MSI00NA...

MPK JI0NI NITAWAPA MREJESH0, KWA KIASI MAMB0 YANAMEKUWA BULL BULL..

MNA0P0NDA MIE KUTUMIA MKONG0 NI WAPUUZI SANA,KILA MTU HUMU DUNIANI ANA KAUPUUZI KAKE,(ila situmii tena)

NIMEWAPA STORY NZIMA BILA KUFICHAFICHA MAMB0...

WENGINE MNA0SEMA NIMELIWA PIA NI WAJINGA INAMAANA HAMKUS0MA VIZURI,NANI KASEMA NIMELIWA..?

KUNA WATU WAMET0A USHAURI MZURI SANA HUMU NA NDI0 NIMEUFANYIA KAZI JAP0 NIMEJIT0A UFAHAMU...(BIG UP JAMIIFORUMS) MAMB0 YA KUPEANA USHAURI HAKUNA INSTAGRAM WALA FACEBOOK ILA HUKU JF UNAP0NDWA,UNATUKANWA ILA NA USHAULI UNAPEWA...

ILA Y0TE KWA Y0TE MKE WA MTU SUMU,VIJANA KAMA UNAJUA UNATEMBEA NA MKE WA MTU ACHA YATAKUKUTA MAKUBWA ZAIDI YA YANGU.. IMAGINE NISINGEENDA NUNUA CHAKULA INGEKUWAJE??WANGENIKUTA NDANI MULE DAH SAA HII MALINDA YANGU YANGEKUWA YAMEFUMUKA,NAKUNYA OVYO,TAK0 L0TE LAINIIIIIII,NI PWAAA PWAAA PWAAAA...

KUNA MI WATU INAJADILI MIMI KUANDIKA 0 BADALA YA o Hahah YANI ZER0 KWENYE o PIA NI LA KUKASIRIKA...OVYOO KABISAA...

KWA WALE WASHENZI MLI0SEMA HII NI CHAI MTAJUA WENYEWE,MLITAKA NISEME (wale jamaa walinikuta wakanila tak*) BASI HAP0 NDI0 MNGESEMA HII SI0 CHAI...PUMBAVU

ALL IN ALL NIMEJUTIA HILI NA HALITAJIRUDIA KABISA...
Wewe nimekwambia ksbb tayari umeshajua nguvu ya mpinzani wako,wewe tafuta na wewe mbavu zaidi ya wale aliowaleta mzee,ongezea na wa karete. Ksbb wa mzee wako 3 wewe chukua wako wawe 6. Wape mchongo wote kwamba kuna mzee ananizingua kaniwekea na ulinzi wa mabaunsa. Kwa hiyo nataka nikachukue vyombo vyangu kuna laki 3 twendeni nikachukue vyombo vyangu. Kiulani unaondoka na vyombo vyako
 
Hapo hakuna kesi, Nenda polisi au serikali za mtaa, yeye ana ushahidi wa video ila na wewe una ushahidi wa ujumbe wa maandishi kuwa anatishia usalama wako.

Hapo ni uoga wako tu, ukienda polisi au serikali za mitaa na huo ujumbe basi mambo kushnei, hakuna kesi kwasababu hukumbaka, ni hiari yake hvyo kesi hakuna.

Chukua hatua ili upate vitu vyako usepe, unajitesa akili wakati mambo yako wazi.
Unakuta mzee ni kitengo
 
Nimeliaaa nimenyamazaaa
Nimekunywa Bia kupunguza mawazo Ila wapi...!!
Nikisema Nilale Nipate Usingizi Hauji...

Iko hivi.... mwaka Jana mwezi wa pili Nimepanga Nyumba moja maeneo ya Hapa Dar, Katika Hiyo Nyumba Mpangaji ni Mimi Peke Yangu... Nyumba Hii imejengwa Kifamilia...

Ila njee ya hio nyumba kubwa Kuna chumba Na seble ila ni ndani ya Geti ndio nimepanga mimi...(Vuta picha utaelewa)

Kipindi nahamia Baba mwenye nyumba aliniambia aliamua kujenga chumba na seble ili atafute mpangaji maana yeye ni mtu wa kusafirisafiri hivyo huwa nyumba inabaki peke yake so kuamua kujenga hivyo ili apate mpangi Ili kidogo kuwe na Usalama...

Na mie ndio mpangaji wa kwanza kubahatika kupanga pale Baada ya kupelekwa na madalali...

Hiyo Nyumba kubwa ni nzuri sana na hata hicho chumba na seble Ni Kizuri sana...

Tangu napanga pale Huyo baba mwenye nyumba Sijawahi kumuona mkewe wala mtoto Japo yeye umri wake umeenda enda hivi nikimkadilia kama miaka 60 mpk 70 Na sikuwahi kumuuliza inshu za familia maana hazinihusu...

Alikuwa akisafiri nabaki peke yangu hata miezi miwili Then namuona wiki kadhaa home then anasepa zake(Huwa ananiaga akisepa)...Sijui kazi yake na sikuwa na haja ya kuuliza maana mimi sio mbea mbea na sikuwahi kuwa na mazoea nae kihivoo..

Sasa Ilipofika mwezi wa 10 mwaka jana Alirudi kutoka huko anakoendaga Ila Alirudi na Binti Mmoja hivi ambae kwa miaka nilivyomtazama kwenye ni 25 mpk 30 nilimkadiria kulingana na Umbo na sura yake...

Yule binti ni mzuri sana nikizungumzia mzuri ni mzuri Haswaa Kama unawajua wazuri basi nae muweke humohumo... Alikaa nae zaidi ya mwezi Na sikuwahi kumuuliza yule mzee kuhusu yule binti kama ni mwanae Au nani yake maana Hayanihusu na wala sijawahi ongea lolote na yule binti zaidi ya salamu Tukiwa tumekutana Mule mule ndani ya geti kiufupi hatukuwa na mazoea...

Ilipofika mwezi wa 12 mwaka jana kwenye tarehe za mwanzoni Yule mzee nilikutana nae Getini asubuhi kipindi nasepa zangu job na aliniaga kuwa nikirudi sitamkuta anasepa zake(Huko anakoendaga sipajui mimi) Nikaitikia kama kawaida fureshi Na huwa hasemi anarudi lini na mimi simuulizi kuwa unarudi lini, Yani yeye kama umeme, Unakatika Ghafla unarudi Ghafla...

Basi Nikasepa zangu mishemishe mpk mida ya sa 10 Nikawa nimerudi Home, Nikafanya shughuli zangu za kila ninaporudi home then nikawasha Ps4 Yangu nikawa nacheza(Huwa napenda sana kucheza game na kucheki movie maana Sina Kazi nyingi Nikiingia ndani)Sinaga marafiki mtaani kabisaa, Marafiki zangu ni kazini Tu Na Huwa wananitembelea au kuwatembelea mara moja moja hasa Jumapili kuja/kwenda kucheza Game Na kuumwagilia moyo..(Demu Sikuwa nae cuz nilitoka kuachwa kwasababu mimi nina gubu ETI)

Basi Mida ya sa 11 nikiwa bize na game mlango wangu ukagongwa ila nikahisi sijasikia vizuri kwasababu nilikuwa bize na Gemu langu Ila nilipo pause nikasikia tena Hodi ya kugongwa mlango, nilistuka maana Kwa miezi yote nilikaa mule ndani mlango wangu haujawahi kugongwa Hodi Hata father hausi awepo hajawahi fanya hivyo, niliingiwa na woga kiasi...

Nikanyanyuka Nikaenda kufungua, nikamkuta yule binti aliekuja na father hause ambae sikuwahi kujua kuwa ni mwanae au demu wake au mtoto wa dada yake Hata jina simjui aisee nilistuka kiasi flani na sababu za kustuka nilijua walisepa wote ile asubuhi nilivyoagwa ila nikawaza labda mzee aliamua kuvunja safari yake hakwenda...

Tulisalimiana na akanieleza shida yake kuwa Anaomba nikamsaidie kuiangalia machine yake ya kufulia nguo maana anaona imesimama haifanyi kazi imezima ghafla. Nikamuuliza kwani mzee Hayupo Akasema amesafiri Kwani hajaniaga? Nikaamua kunyamaza, nikaingia ndani kuvaa Shati langu maana nilikuwa kifua wazi ili niende huko kwenye hio mashine ya kufulia...

N:B KUNA KITU KIMET0KEA JUZI KUSHINDA JANA YANI LE0 SIKU YA 3 NDIO KINAFANYA NIOMBE USHAURI HAPA NAHISI KUZIMIA NA KUFA KUFA...

Naja malizia...

====

Nikavaa shati langu nikatoka Tukaelekea Huko iliko hiyo mashine Yakufulia, Kiufupi Hata Sikuwa Najua lolote kuhusu Hiyo mashine na wala sikuwahi itumia kabisaa ila nilienda kwasababu mimi ni mwanaume tu...

Kwa mara ya kwanza niliingia kwenye ile nyumba kubwa, Aisee Ndani Kuzuri sana, vitu vya Thamani sana, Ile LG ukutani sijui Nchi ngapi, Kiufipi mzee alikuwa vizuri ndani, Kwa ile siting room Ilivyokuwa Nzuri kwa kijana yoyote Yule Ni lazima angetamani pawe kwake, Basi Akanipelekea mpk kwenye chumba cha kufulia Ila Chaajabu nikakuta mashine inaunguruma fresh tu hadi yeye akashangaa!! Akaanza kuchekacheka Kikike kike na aibu kwa mbali, Sikuwa na la kupotezea Nikatoka njee, Alinishukuru kwakukujali wito wake japo Tulikuta kila kitu kimekaa sawa chenyewe...

Nikiwa naelekea kwenye mlango wangu aliniita Ikabidi nisimame na kumgeukia Alikuja nilipo(Hapa ndio mwanzo wa tatizo najuta kusimama)

Aliniambia Hana Rafiki hivyo Anahitaji namba yangu ili Kukiwa na tatizo lolote kwa upande wake ama wangu tuwe tunajuzana, sikuwa na choyo nikampatia...

(Naenda kwakufupisha story ili tufikie lengo maana wengine mshaanza ooh Chai Mara Hamtaki ITAENDELEA kila mtu ana Jazba zake humu..)

Tulizoena na kuchat kwa meseji sana Ila kitu kimoja tu toka kwake nikimuuliza Yule father hausi ni nani yako huwa hanipi majibu ya kueleweka yaani kiufupi Haniambii kama ni baba ake au bwana ake hasemi anarukaruka tu...

Tulizoeana ndani ya wiki tu, siku ambayo naijutia Ni siku ambayo aliomba aingie ndani kwangu Ili Acheki na mimi movie, sikuwa na Hiyana nikamuingiza ndani natukawa tunachek movie, Alikuja na kijisketi chepesi Chenye vijimkanda kwenye mabega...

Tulicheki movie Mpaka saa moja huku tukipiga stor nyingi za ucheshi Alikuwa anapenda sana kucheka, alikuwa anauliza mbona hajawahi ona mwanamke Pale kwangu Nikamjibu Sinaga time nao niko bize na life Akauliza nyeg* zangu huwa namaliza wapi?? Mikajibu Huwa naziacha mwilini mwangu humu humu!! Sifichi siku ile nilimtafuna yule binti nilitafuna sana Tena kwa uchu mkali..

Tangu nazaliwa sijawahi gonga pisi kama ile, mali safi, Sauti ya Ruby kama si zuchu akiwa analia Kwenye hichi kifua cha mwanaume wa tanga Tena mdigo wa Mwahako...

Basi Tukawa wapenzi Rasmi Nikawa napikiwa nafuliwa kwenye lile lile limashine la kufulia Nikawa baba mwenye nyumba mdogo... Tunazagamuana popote pale iwe chumbani kwangu, Chumbani kwake, Siting Room kwangu Ama kwake, Kuna siku nilimtafuna uwanjani anapopaki Gari Father Hausi Shahidi ndege angani...

Nikaanzisha Tabia moja nikitaka kutoka job nakimbilia chooni napaka MKONGO ule wa MAFUTA nafunga nalemba, Napanda Gari Sometimes nikiona nachelewa napanda pikipiki mpk Home Nikifika Huwa MKONGO Ushakolea Mwilini Basi namvamia napiga show hata awe Anapika, Kwanza alikuwa anapenda show zangu za kibabe pasinakujua Nampakia mkongo ili kumkoleza...(Mkongo alinipa jamaa angu kazini)

Siku moja aliamua kunifungukia kuwa yule mzee ni Mume wake Tena wa ndoa kabisa alimuoa Huko mkoa X na ndoa yao ni changa kabisaa, pia na yeye kwenye huu mjengo ndio kaletwa Kwa mara ya kwanza Hakuwahi kufika kabla(ila Hakuniambia mzee anafanya kazi gani) Basi Sikuwa na la kufanya maana nishanogewa na mbususu nikasema potelea Kote Chuma Huliwa na kutu...

Siku ya siku mzee Alirudi alipokwenda na ilikuwa mwaka huu mwezi wa kwanza siku ya mwaka mpya Yaani TAREHE 1/1/2023...Kama kawaida yangu mi mzee cool Sikuwa na maneno nae kabisaa Ila nikawa namchukia yule mzee why karudi wakati nishazoea Kutawala mule ndani, Wivu unanijaa inapofika usiku Nawaza Demu wangu analiwa na mume wake muda huu, Nawaza ile mikunjo Ya kiko, mbuzi kagoma, Kifo cha mende na mikao ya ajabu ajabu, Nawaza Ile sauti yake yenye uzuchu ndani yake, Wivu Unanijaa Nakuwa na hasira sana, Kuhusu kutuma txt naogopa Yani Nilikuwa kama Mwijaku sieleweki Nimepoaaaa nimepoaaaa!!! Ila Hayo yote yalikuwa mawazo Yangu mimi sikujua ndani ya zile kuta kunatokea nini kama wazagamuana au laa...

Niliishi kwa tabu sana Hata nikiwa kazini namuwaza yule binti, Nikiri nilimpenda sana Alinisitiri kama vanilla wa kings music Aliniweza jamani...Ikipindi yule mzee yupo basi Hata nikikutana na binti kwenye uwanja wa paking ni salamu tu hata tuwe wawili Hatuongeleshani zaidi ya salamu kwa kuogopa labda mzee ataweza ona mabadiliko Kati Yangu na mke wake...

Ilipofika Tarehe kumi mwezi huu yanii TAREHE 10/2/2023 Mzee alisepa zake ila safari hii sikuagwa kama kawaida yake ila niliona asubuhi akiwa anapaki mabegi kwenye gari lake na mie sikushuhulika nae nikasepa zangu job ila Nilipokuwa j0b iliingia meseji toka kwa binti ""AME0ND0KA YULE MZEE, KULA USHIBE JIONI UNA KAZI YA KUNIT0A Z0TE"" nikamjibu W00W JIANDAE hizi txt ninazo mpk sasa...Aisee niliona masaa ya kazini Hayaendi Nili0na muda umesimama, Akili yangu Iliwaza Nyumbani tu, Akili yangu Iliwaza mbususu ya yule binti, Niliwaza leo nikampe style Gani kale kabinti, Ila Muda si Rafiki Ikafika time ya kutoka job Nikawahi Chooni kama kawaida yangu kupaka MKONGO ili nikifika mambo yawe pambeee...
Shida nini
 
Hicho ndio kitu rahisi kwake. Ksbb tayari ameisoma nguvu ya mzee. Yeye aandar nguvu zaidi kwa laki 3 awambie twendeni tukachukue vyombo vyangu. Awaambie Hali halisi ya pale ilivyo nguvu watakayokutana nayo. Mbona kirahisi tu anaondoka
Mbele ya hela unaweza kugeukwa na hata usiowatarajia. Anaenda pale na watu wake, mzee anawapandia dau wale majamaa na anawahaidi kuwalipa mara mbili zaidi ili wakugeuke. Mbona namba utaisomaa!
 
Mbele ya hela unaweza kugeukwa na hata usiowatarajia. Anaenda pale na watu wake, mzee anawapandia dau wale majamaa na anawahaidi kuwalipa mara mbili zaidi ili wakugeuke. Mbona namba utaisomaa!
Anatakiwa achukue washikaji zake wale wa damu sio wa kuokota barabaran
 
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KWA WALE MSI00NA...

MPK JI0NI NITAWAPA MREJESH0, KWA KIASI MAMB0 YANAMEKUWA BULL BULL..

MNA0P0NDA MIE KUTUMIA MKONG0 NI WAPUUZI SANA,KILA MTU HUMU DUNIANI ANA KAUPUUZI KAKE,(ila situmii tena)

NIMEWAPA STORY NZIMA BILA KUFICHAFICHA MAMB0...

WENGINE MNA0SEMA NIMELIWA PIA NI WAJINGA INAMAANA HAMKUS0MA VIZURI,NANI KASEMA NIMELIWA..?

KUNA WATU WAMET0A USHAURI MZURI SANA HUMU NA NDI0 NIMEUFANYIA KAZI JAP0 NIMEJIT0A UFAHAMU...(BIG UP JAMIIFORUMS) MAMB0 YA KUPEANA USHAURI HAKUNA INSTAGRAM WALA FACEBOOK ILA HUKU JF UNAP0NDWA,UNATUKANWA ILA NA USHAULI UNAPEWA...

ILA Y0TE KWA Y0TE MKE WA MTU SUMU,VIJANA KAMA UNAJUA UNATEMBEA NA MKE WA MTU ACHA YATAKUKUTA MAKUBWA ZAIDI YA YANGU.. IMAGINE NISINGEENDA NUNUA CHAKULA INGEKUWAJE??WANGENIKUTA NDANI MULE DAH SAA HII MALINDA YANGU YANGEKUWA YAMEFUMUKA,NAKUNYA OVYO,TAK0 L0TE LAINIIIIIII,NI PWAAA PWAAA PWAAAA...

KUNA MI WATU INAJADILI MIMI KUANDIKA 0 BADALA YA o Hahah YANI ZER0 KWENYE o PIA NI LA KUKASIRIKA...OVYOO KABISAA...

KWA WALE WASHENZI MLI0SEMA HII NI CHAI MTAJUA WENYEWE,MLITAKA NISEME (wale jamaa walinikuta wakanila tak*) BASI HAP0 NDI0 MNGESEMA HII SI0 CHAI...PUMBAVU

ALL IN ALL NIMEJUTIA HILI NA HALITAJIRUDIA KABISA...
Ndio utufokee kwa maherufi makubwa ,umechukua ushauri upo
 
Mbele ya hela unaweza kugeukwa na hata usiowatarajia. Anaenda pale na watu wake, mzee anawapandia dau wale majamaa na anawahaidi kuwalipa mara mbili zaidi ili wakugeuke. Mbona namba utaisomaa!
Hakuna kitu kama hicho kupanda dau ni kitu cha kujipanga. Sasa umefika na watu wako,hakuna maongezi hapo,ni kama vurugu fulani. Mzee na watu wake watapigwa na butwaa ni kitu ambacho hawakukitegemea. Hapo wamekuja kazi kazi watapata wapi muda wa kukubariana na mzee?.
 
Nimeliaaa nimenyamazaaa
Nimekunywa Bia kupunguza mawazo Ila wapi...!!
Nikisema Nilale Nipate Usingizi Hauji...

Iko hivi.... mwaka Jana mwezi wa pili Nimepanga Nyumba moja maeneo ya Hapa Dar, Katika Hiyo Nyumba Mpangaji ni Mimi Peke Yangu... Nyumba Hii imejengwa Kifamilia...

Ila njee ya hio nyumba kubwa Kuna chumba Na seble ila ni ndani ya Geti ndio nimepanga mimi...(Vuta picha utaelewa)

Kipindi nahamia Baba mwenye nyumba aliniambia aliamua kujenga chumba na seble ili atafute mpangaji maana yeye ni mtu wa kusafirisafiri hivyo huwa nyumba inabaki peke yake so kuamua kujenga hivyo ili apate mpangi Ili kidogo kuwe na Usalama...

Na mie ndio mpangaji wa kwanza kubahatika kupanga pale Baada ya kupelekwa na madalali...

Hiyo Nyumba kubwa ni nzuri sana na hata hicho chumba na seble Ni Kizuri sana...

Tangu napanga pale Huyo baba mwenye nyumba Sijawahi kumuona mkewe wala mtoto Japo yeye umri wake umeenda enda hivi nikimkadilia kama miaka 60 mpk 70 Na sikuwahi kumuuliza inshu za familia maana hazinihusu...

Alikuwa akisafiri nabaki peke yangu hata miezi miwili Then namuona wiki kadhaa home then anasepa zake(Huwa ananiaga akisepa)...Sijui kazi yake na sikuwa na haja ya kuuliza maana mimi sio mbea mbea na sikuwahi kuwa na mazoea nae kihivoo..

Sasa Ilipofika mwezi wa 10 mwaka jana Alirudi kutoka huko anakoendaga Ila Alirudi na Binti Mmoja hivi ambae kwa miaka nilivyomtazama kwenye ni 25 mpk 30 nilimkadiria kulingana na Umbo na sura yake...

Yule binti ni mzuri sana nikizungumzia mzuri ni mzuri Haswaa Kama unawajua wazuri basi nae muweke humohumo... Alikaa nae zaidi ya mwezi Na sikuwahi kumuuliza yule mzee kuhusu yule binti kama ni mwanae Au nani yake maana Hayanihusu na wala sijawahi ongea lolote na yule binti zaidi ya salamu Tukiwa tumekutana Mule mule ndani ya geti kiufupi hatukuwa na mazoea...

Ilipofika mwezi wa 12 mwaka jana kwenye tarehe za mwanzoni Yule mzee nilikutana nae Getini asubuhi kipindi nasepa zangu job na aliniaga kuwa nikirudi sitamkuta anasepa zake(Huko anakoendaga sipajui mimi) Nikaitikia kama kawaida fureshi Na huwa hasemi anarudi lini na mimi simuulizi kuwa unarudi lini, Yani yeye kama umeme, Unakatika Ghafla unarudi Ghafla...

Basi Nikasepa zangu mishemishe mpk mida ya sa 10 Nikawa nimerudi Home, Nikafanya shughuli zangu za kila ninaporudi home then nikawasha Ps4 Yangu nikawa nacheza(Huwa napenda sana kucheza game na kucheki movie maana Sina Kazi nyingi Nikiingia ndani)Sinaga marafiki mtaani kabisaa, Marafiki zangu ni kazini Tu Na Huwa wananitembelea au kuwatembelea mara moja moja hasa Jumapili kuja/kwenda kucheza Game Na kuumwagilia moyo..(Demu Sikuwa nae cuz nilitoka kuachwa kwasababu mimi nina gubu ETI)

Basi Mida ya sa 11 nikiwa bize na game mlango wangu ukagongwa ila nikahisi sijasikia vizuri kwasababu nilikuwa bize na Gemu langu Ila nilipo pause nikasikia tena Hodi ya kugongwa mlango, nilistuka maana Kwa miezi yote nilikaa mule ndani mlango wangu haujawahi kugongwa Hodi Hata father hausi awepo hajawahi fanya hivyo, niliingiwa na woga kiasi...

Nikanyanyuka Nikaenda kufungua, nikamkuta yule binti aliekuja na father hause ambae sikuwahi kujua kuwa ni mwanae au demu wake au mtoto wa dada yake Hata jina simjui aisee nilistuka kiasi flani na sababu za kustuka nilijua walisepa wote ile asubuhi nilivyoagwa ila nikawaza labda mzee aliamua kuvunja safari yake hakwenda...

Tulisalimiana na akanieleza shida yake kuwa Anaomba nikamsaidie kuiangalia machine yake ya kufulia nguo maana anaona imesimama haifanyi kazi imezima ghafla. Nikamuuliza kwani mzee Hayupo Akasema amesafiri Kwani hajaniaga? Nikaamua kunyamaza, nikaingia ndani kuvaa Shati langu maana nilikuwa kifua wazi ili niende huko kwenye hio mashine ya kufulia...

N:B KUNA KITU KIMET0KEA JUZI KUSHINDA JANA YANI LE0 SIKU YA 3 NDIO KINAFANYA NIOMBE USHAURI HAPA NAHISI KUZIMIA NA KUFA KUFA...

Naja malizia...

====

Nikavaa shati langu nikatoka Tukaelekea Huko iliko hiyo mashine Yakufulia, Kiufupi Hata Sikuwa Najua lolote kuhusu Hiyo mashine na wala sikuwahi itumia kabisaa ila nilienda kwasababu mimi ni mwanaume tu...

Kwa mara ya kwanza niliingia kwenye ile nyumba kubwa, Aisee Ndani Kuzuri sana, vitu vya Thamani sana, Ile LG ukutani sijui Nchi ngapi, Kiufipi mzee alikuwa vizuri ndani, Kwa ile siting room Ilivyokuwa Nzuri kwa kijana yoyote Yule Ni lazima angetamani pawe kwake, Basi Akanipelekea mpk kwenye chumba cha kufulia Ila Chaajabu nikakuta mashine inaunguruma fresh tu hadi yeye akashangaa!! Akaanza kuchekacheka Kikike kike na aibu kwa mbali, Sikuwa na la kupotezea Nikatoka njee, Alinishukuru kwakukujali wito wake japo Tulikuta kila kitu kimekaa sawa chenyewe...

Nikiwa naelekea kwenye mlango wangu aliniita Ikabidi nisimame na kumgeukia Alikuja nilipo(Hapa ndio mwanzo wa tatizo najuta kusimama)

Aliniambia Hana Rafiki hivyo Anahitaji namba yangu ili Kukiwa na tatizo lolote kwa upande wake ama wangu tuwe tunajuzana, sikuwa na choyo nikampatia...

(Naenda kwakufupisha story ili tufikie lengo maana wengine mshaanza ooh Chai Mara Hamtaki ITAENDELEA kila mtu ana Jazba zake humu..)

Tulizoena na kuchat kwa meseji sana Ila kitu kimoja tu toka kwake nikimuuliza Yule father hausi ni nani yako huwa hanipi majibu ya kueleweka yaani kiufupi Haniambii kama ni baba ake au bwana ake hasemi anarukaruka tu...

Tulizoeana ndani ya wiki tu, siku ambayo naijutia Ni siku ambayo aliomba aingie ndani kwangu Ili Acheki na mimi movie, sikuwa na Hiyana nikamuingiza ndani natukawa tunachek movie, Alikuja na kijisketi chepesi Chenye vijimkanda kwenye mabega...

Tulicheki movie Mpaka saa moja huku tukipiga stor nyingi za ucheshi Alikuwa anapenda sana kucheka, alikuwa anauliza mbona hajawahi ona mwanamke Pale kwangu Nikamjibu Sinaga time nao niko bize na life Akauliza nyeg* zangu huwa namaliza wapi?? Mikajibu Huwa naziacha mwilini mwangu humu humu!! Sifichi siku ile nilimtafuna yule binti nilitafuna sana Tena kwa uchu mkali..

Tangu nazaliwa sijawahi gonga pisi kama ile, mali safi, Sauti ya Ruby kama si zuchu akiwa analia Kwenye hichi kifua cha mwanaume wa tanga Tena mdigo wa Mwahako...

Basi Tukawa wapenzi Rasmi Nikawa napikiwa nafuliwa kwenye lile lile limashine la kufulia Nikawa baba mwenye nyumba mdogo... Tunazagamuana popote pale iwe chumbani kwangu, Chumbani kwake, Siting Room kwangu Ama kwake, Kuna siku nilimtafuna uwanjani anapopaki Gari Father Hausi Shahidi ndege angani...

Nikaanzisha Tabia moja nikitaka kutoka job nakimbilia chooni napaka MKONGO ule wa MAFUTA nafunga nalemba, Napanda Gari Sometimes nikiona nachelewa napanda pikipiki mpk Home Nikifika Huwa MKONGO Ushakolea Mwilini Basi namvamia napiga show hata awe Anapika, Kwanza alikuwa anapenda show zangu za kibabe pasinakujua Nampakia mkongo ili kumkoleza...(Mkongo alinipa jamaa angu kazini)

Siku moja aliamua kunifungukia kuwa yule mzee ni Mume wake Tena wa ndoa kabisa alimuoa Huko mkoa X na ndoa yao ni changa kabisaa, pia na yeye kwenye huu mjengo ndio kaletwa Kwa mara ya kwanza Hakuwahi kufika kabla(ila Hakuniambia mzee anafanya kazi gani) Basi Sikuwa na la kufanya maana nishanogewa na mbususu nikasema potelea Kote Chuma Huliwa na kutu...

Siku ya siku mzee Alirudi alipokwenda na ilikuwa mwaka huu mwezi wa kwanza siku ya mwaka mpya Yaani TAREHE 1/1/2023...Kama kawaida yangu mi mzee cool Sikuwa na maneno nae kabisaa Ila nikawa namchukia yule mzee why karudi wakati nishazoea Kutawala mule ndani, Wivu unanijaa inapofika usiku Nawaza Demu wangu analiwa na mume wake muda huu, Nawaza ile mikunjo Ya kiko, mbuzi kagoma, Kifo cha mende na mikao ya ajabu ajabu, Nawaza Ile sauti yake yenye uzuchu ndani yake, Wivu Unanijaa Nakuwa na hasira sana, Kuhusu kutuma txt naogopa Yani Nilikuwa kama Mwijaku sieleweki Nimepoaaaa nimepoaaaa!!! Ila Hayo yote yalikuwa mawazo Yangu mimi sikujua ndani ya zile kuta kunatokea nini kama wazagamuana au laa...

Niliishi kwa tabu sana Hata nikiwa kazini namuwaza yule binti, Nikiri nilimpenda sana Alinisitiri kama vanilla wa kings music Aliniweza jamani...Ikipindi yule mzee yupo basi Hata nikikutana na binti kwenye uwanja wa paking ni salamu tu hata tuwe wawili Hatuongeleshani zaidi ya salamu kwa kuogopa labda mzee ataweza ona mabadiliko Kati Yangu na mke wake...

Ilipofika Tarehe kumi mwezi huu yanii TAREHE 10/2/2023 Mzee alisepa zake ila safari hii sikuagwa kama kawaida yake ila niliona asubuhi akiwa anapaki mabegi kwenye gari lake na mie sikushuhulika nae nikasepa zangu job ila Nilipokuwa j0b iliingia meseji toka kwa binti ""AME0ND0KA YULE MZEE, KULA USHIBE JIONI UNA KAZI YA KUNIT0A Z0TE"" nikamjibu W00W JIANDAE hizi txt ninazo mpk sasa...Aisee niliona masaa ya kazini Hayaendi Nili0na muda umesimama, Akili yangu Iliwaza Nyumbani tu, Akili yangu Iliwaza mbususu ya yule binti, Niliwaza leo nikampe style Gani kale kabinti, Ila Muda si Rafiki Ikafika time ya kutoka job Nikawahi Chooni kama kawaida yangu kupaka MKONGO ili nikifika mambo yawe pambeee...

Hii ni story ya kutunga, ingawa ni ya kutunga, nakupa tahadhari mqisha ya hivyo unacheza na kifo.

Bastola/Pistol tena Springfield garisson XD-M elite 22 rounds muhimu sana kuwa nayo, watu mnatafuta kumalizwa maishani wenyewe tu..

Mtu unaandika upuuzi, ukiuliwa ndio utajua kifo umekitafuta mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom