Najuta sana

Najuta sana

Tafuta watu serious waende polisi waseme wao n ndugu zako hupatikani na hawajui ulipo na Mara yamwisho waliongea nawewe ukawaambia mwenye nyumba wako amekutishia maisha kisa unatembea na mfanyakazi wake hvyo wanahisi mwenye nyumba anahusika na kupotea kwako.

Kwakuwa hao watu watakua watu serious Basi wakianza hyo ligi baada ya siku kadhaa waombe ruhusu ya kuchukua Mali za mtu aliepotea huenda zote au zile chache muhimu movie hyo isichukue siku nyingi Yan siku Saba zinatosha wakaze sana na wajue target yao n kuchukua vitu vyako hvyo kila wakiongea waeajenge kisaikolojia mapema polisi ili iwe rahisi kupata vitu vyako.

Ila ujinga uache ushajua n mke wa mtu Tena mzee mwenye nyumba na bado unaenda kukalanae kwenye kitanda,makochi na jikon kwa mwenye nyumba na tena unampakia mkongo sasa hapo hata shetani anakukataa.
 
Wewe ni mtu mpuuzi kwa sababu zifuatazo;
1. Kijana mdogo kutumia mkongo. Unajimaliza.
2. Kutumia muda mwingi kutazama movie na kucheza game.
3. Kumla mke wa mtu nyumbani kwake. Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa. Na kwenye stori yako umesema ulishawahi kumla kwenye parking ya gari.

Kwa jinsi ulivyomwelezea huyo mzee hakuna kitu unaweza kumfanya hata ukienda polisi. Ubaya ana ushahidi kabisa. Ninakushauri mambo mawili;
1. Achana nae kaanze maisha upya maana hapo mambo yashaharibika.
2. Ukikataa ushauri wa kwanza hapo basi huna budi kuolewa naye uwe mke wa pili.
 
Nenda Polisi kajisalimishe polisi toa taarifa na nenda na Polisi wenye Silaha kachukue vitu vyako weeh sema yule Binti ndio alikutongoza na alikuambia yule Mzee ni Mjomba wake hivyo hakukuambia kama ni mke wake angalizo Mzee atakuwa amedhamiria kulipa kisasi hivyo hakikisha hajui kabisa sehemu utakayoenda.
Anaweza akajifanya mwema, kisha gari la kuhamisha vitu vyako likiondoka, anamtuma bodaboda akufuatilie kwa siri mpaka ajue ulipohamia.
 
NENDA kwa maafande kama watatu HIVI kawaeleze Kila kitu halafu wakupeleke ukachukue vitu vyako halafu watamwambia Bo's kuwa tunajua yote yaliyojiri hivyo muache muhusika achukue vitu vyake na wewe kafungue kesi ya madai mahakamani!

Watamsimamia na Boss hatofanya lolote na hao VIJANA wake!

Jaribu kuongea na maafande kadhaa wakusaidie mawazo pia kwenye hilo!!
 
Nimeliaaa nimenyamazaaa
Nimekunywa Bia kupunguza mawazo Ila wapi...!!
Nikisema Nilale Nipate Usingizi Hauji...

Iko hivi.... mwaka Jana mwezi wa pili Nimepanga Nyumba moja maeneo ya Hapa Dar, Katika Hiyo Nyumba Mpangaji ni Mimi Peke Yangu... Nyumba Hii imejengwa Kifamilia...

Ila njee ya hio nyumba kubwa Kuna chumba Na seble ila ni ndani ya Geti ndio nimepanga mimi...(Vuta picha utaelewa)

Kipindi nahamia Baba mwenye nyumba aliniambia aliamua kujenga chumba na seble ili atafute mpangaji maana yeye ni mtu wa kusafirisafiri hivyo huwa nyumba inabaki peke yake so kuamua kujenga hivyo ili apate mpangi Ili kidogo kuwe na Usalama...

Na mie ndio mpangaji wa kwanza kubahatika kupanga pale Baada ya kupelekwa na madalali...

Hiyo Nyumba kubwa ni nzuri sana na hata hicho chumba na seble Ni Kizuri sana...

Tangu napanga pale Huyo baba mwenye nyumba Sijawahi kumuona mkewe wala mtoto Japo yeye umri wake umeenda enda hivi nikimkadilia kama miaka 60 mpk 70 Na sikuwahi kumuuliza inshu za familia maana hazinihusu...

Alikuwa akisafiri nabaki peke yangu hata miezi miwili Then namuona wiki kadhaa home then anasepa zake(Huwa ananiaga akisepa)...Sijui kazi yake na sikuwa na haja ya kuuliza maana mimi sio mbea mbea na sikuwahi kuwa na mazoea nae kihivoo..

Sasa Ilipofika mwezi wa 10 mwaka jana Alirudi kutoka huko anakoendaga Ila Alirudi na Binti Mmoja hivi ambae kwa miaka nilivyomtazama kwenye ni 25 mpk 30 nilimkadiria kulingana na Umbo na sura yake...

Yule binti ni mzuri sana nikizungumzia mzuri ni mzuri Haswaa Kama unawajua wazuri basi nae muweke humohumo... Alikaa nae zaidi ya mwezi Na sikuwahi kumuuliza yule mzee kuhusu yule binti kama ni mwanae Au nani yake maana Hayanihusu na wala sijawahi ongea lolote na yule binti zaidi ya salamu Tukiwa tumekutana Mule mule ndani ya geti kiufupi hatukuwa na mazoea...

Ilipofika mwezi wa 12 mwaka jana kwenye tarehe za mwanzoni Yule mzee nilikutana nae Getini asubuhi kipindi nasepa zangu job na aliniaga kuwa nikirudi sitamkuta anasepa zake(Huko anakoendaga sipajui mimi) Nikaitikia kama kawaida fureshi Na huwa hasemi anarudi lini na mimi simuulizi kuwa unarudi lini, Yani yeye kama umeme, Unakatika Ghafla unarudi Ghafla...

Basi Nikasepa zangu mishemishe mpk mida ya sa 10 Nikawa nimerudi Home, Nikafanya shughuli zangu za kila ninaporudi home then nikawasha Ps4 Yangu nikawa nacheza(Huwa napenda sana kucheza game na kucheki movie maana Sina Kazi nyingi Nikiingia ndani)Sinaga marafiki mtaani kabisaa, Marafiki zangu ni kazini Tu Na Huwa wananitembelea au kuwatembelea mara moja moja hasa Jumapili kuja/kwenda kucheza Game Na kuumwagilia moyo..(Demu Sikuwa nae cuz nilitoka kuachwa kwasababu mimi nina gubu ETI)

Basi Mida ya sa 11 nikiwa bize na game mlango wangu ukagongwa ila nikahisi sijasikia vizuri kwasababu nilikuwa bize na Gemu langu Ila nilipo pause nikasikia tena Hodi ya kugongwa mlango, nilistuka maana Kwa miezi yote nilikaa mule ndani mlango wangu haujawahi kugongwa Hodi Hata father hausi awepo hajawahi fanya hivyo, niliingiwa na woga kiasi...

Nikanyanyuka Nikaenda kufungua, nikamkuta yule binti aliekuja na father hause ambae sikuwahi kujua kuwa ni mwanae au demu wake au mtoto wa dada yake Hata jina simjui aisee nilistuka kiasi flani na sababu za kustuka nilijua walisepa wote ile asubuhi nilivyoagwa ila nikawaza labda mzee aliamua kuvunja safari yake hakwenda...

Tulisalimiana na akanieleza shida yake kuwa Anaomba nikamsaidie kuiangalia machine yake ya kufulia nguo maana anaona imesimama haifanyi kazi imezima ghafla. Nikamuuliza kwani mzee Hayupo Akasema amesafiri Kwani hajaniaga? Nikaamua kunyamaza, nikaingia ndani kuvaa Shati langu maana nilikuwa kifua wazi ili niende huko kwenye hio mashine ya kufulia...

N:B KUNA KITU KIMET0KEA JUZI KUSHINDA JANA YANI LE0 SIKU YA 3 NDIO KINAFANYA NIOMBE USHAURI HAPA NAHISI KUZIMIA NA KUFA KUFA...

Naja malizia...

====

Nikavaa shati langu nikatoka Tukaelekea Huko iliko hiyo mashine Yakufulia, Kiufupi Hata Sikuwa Najua lolote kuhusu Hiyo mashine na wala sikuwahi itumia kabisaa ila nilienda kwasababu mimi ni mwanaume tu...

Kwa mara ya kwanza niliingia kwenye ile nyumba kubwa, Aisee Ndani Kuzuri sana, vitu vya Thamani sana, Ile LG ukutani sijui Nchi ngapi, Kiufipi mzee alikuwa vizuri ndani, Kwa ile siting room Ilivyokuwa Nzuri kwa kijana yoyote Yule Ni lazima angetamani pawe kwake, Basi Akanipelekea mpk kwenye chumba cha kufulia Ila Chaajabu nikakuta mashine inaunguruma fresh tu hadi yeye akashangaa!! Akaanza kuchekacheka Kikike kike na aibu kwa mbali, Sikuwa na la kupotezea Nikatoka njee, Alinishukuru kwakukujali wito wake japo Tulikuta kila kitu kimekaa sawa chenyewe...

Nikiwa naelekea kwenye mlango wangu aliniita Ikabidi nisimame na kumgeukia Alikuja nilipo(Hapa ndio mwanzo wa tatizo najuta kusimama)

Aliniambia Hana Rafiki hivyo Anahitaji namba yangu ili Kukiwa na tatizo lolote kwa upande wake ama wangu tuwe tunajuzana, sikuwa na choyo nikampatia...

(Naenda kwakufupisha story ili tufikie lengo maana wengine mshaanza ooh Chai Mara Hamtaki ITAENDELEA kila mtu ana Jazba zake humu..)

Tulizoena na kuchat kwa meseji sana Ila kitu kimoja tu toka kwake nikimuuliza Yule father hausi ni nani yako huwa hanipi majibu ya kueleweka yaani kiufupi Haniambii kama ni baba ake au bwana ake hasemi anarukaruka tu...

Tulizoeana ndani ya wiki tu, siku ambayo naijutia Ni siku ambayo aliomba aingie ndani kwangu Ili Acheki na mimi movie, sikuwa na Hiyana nikamuingiza ndani natukawa tunachek movie, Alikuja na kijisketi chepesi Chenye vijimkanda kwenye mabega...

Tulicheki movie Mpaka saa moja huku tukipiga stor nyingi za ucheshi Alikuwa anapenda sana kucheka, alikuwa anauliza mbona hajawahi ona mwanamke Pale kwangu Nikamjibu Sinaga time nao niko bize na life Akauliza nyeg* zangu huwa namaliza wapi?? Mikajibu Huwa naziacha mwilini mwangu humu humu!! Sifichi siku ile nilimtafuna yule binti nilitafuna sana Tena kwa uchu mkali..

Tangu nazaliwa sijawahi gonga pisi kama ile, mali safi, Sauti ya Ruby kama si zuchu akiwa analia Kwenye hichi kifua cha mwanaume wa tanga Tena mdigo wa Mwahako...

Basi Tukawa wapenzi Rasmi Nikawa napikiwa nafuliwa kwenye lile lile limashine la kufulia Nikawa baba mwenye nyumba mdogo... Tunazagamuana popote pale iwe chumbani kwangu, Chumbani kwake, Siting Room kwangu Ama kwake, Kuna siku nilimtafuna uwanjani anapopaki Gari Father Hausi Shahidi ndege angani...

Nikaanzisha Tabia moja nikitaka kutoka job nakimbilia chooni napaka MKONGO ule wa MAFUTA nafunga nalemba, Napanda Gari Sometimes nikiona nachelewa napanda pikipiki mpk Home Nikifika Huwa MKONGO Ushakolea Mwilini Basi namvamia napiga show hata awe Anapika, Kwanza alikuwa anapenda show zangu za kibabe pasinakujua Nampakia mkongo ili kumkoleza...(Mkongo alinipa jamaa angu kazini)

Siku moja aliamua kunifungukia kuwa yule mzee ni Mume wake Tena wa ndoa kabisa alimuoa Huko mkoa X na ndoa yao ni changa kabisaa, pia na yeye kwenye huu mjengo ndio kaletwa Kwa mara ya kwanza Hakuwahi kufika kabla(ila Hakuniambia mzee anafanya kazi gani) Basi Sikuwa na la kufanya maana nishanogewa na mbususu nikasema potelea Kote Chuma Huliwa na kutu...

Siku ya siku mzee Alirudi alipokwenda na ilikuwa mwaka huu mwezi wa kwanza siku ya mwaka mpya Yaani TAREHE 1/1/2023...Kama kawaida yangu mi mzee cool Sikuwa na maneno nae kabisaa Ila nikawa namchukia yule mzee why karudi wakati nishazoea Kutawala mule ndani, Wivu unanijaa inapofika usiku Nawaza Demu wangu analiwa na mume wake muda huu, Nawaza ile mikunjo Ya kiko, mbuzi kagoma, Kifo cha mende na mikao ya ajabu ajabu, Nawaza Ile sauti yake yenye uzuchu ndani yake, Wivu Unanijaa Nakuwa na hasira sana, Kuhusu kutuma txt naogopa Yani Nilikuwa kama Mwijaku sieleweki Nimepoaaaa nimepoaaaa!!! Ila Hayo yote yalikuwa mawazo Yangu mimi sikujua ndani ya zile kuta kunatokea nini kama wazagamuana au laa...

Niliishi kwa tabu sana Hata nikiwa kazini namuwaza yule binti, Nikiri nilimpenda sana Alinisitiri kama vanilla wa kings music Aliniweza jamani...Ikipindi yule mzee yupo basi Hata nikikutana na binti kwenye uwanja wa paking ni salamu tu hata tuwe wawili Hatuongeleshani zaidi ya salamu kwa kuogopa labda mzee ataweza ona mabadiliko Kati Yangu na mke wake...

Ilipofika Tarehe kumi mwezi huu yanii TAREHE 10/2/2023 Mzee alisepa zake ila safari hii sikuagwa kama kawaida yake ila niliona asubuhi akiwa anapaki mabegi kwenye gari lake na mie sikushuhulika nae nikasepa zangu job ila Nilipokuwa j0b iliingia meseji toka kwa binti ""AME0ND0KA YULE MZEE, KULA USHIBE JIONI UNA KAZI YA KUNIT0A Z0TE"" nikamjibu W00W JIANDAE hizi txt ninazo mpk sasa...Aisee niliona masaa ya kazini Hayaendi Nili0na muda umesimama, Akili yangu Iliwaza Nyumbani tu, Akili yangu Iliwaza mbususu ya yule binti, Niliwaza leo nikampe style Gani kale kabinti, Ila Muda si Rafiki Ikafika time ya kutoka job Nikawahi Chooni kama kawaida yangu kupaka MKONGO ili nikifika mambo yawe pambeee...
Yaani nimedinda balaa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kitachotokea, ila story yako imenikumbusha Tanga mitaa ya chuda nilipataga hifadhi kwa workmate wakati nimeenda kuanza kazi baada ya chuo. Ni zile nyumba za siku nyingi, kuna mdingi wa makamo ila mswahili alikuwa ndo mwenye nyumba nae anaishi chumba kimoja na mke wake ni bonge la kisu mwarabu shombeshombe hivi.

Sasa mimi nilikuaga namtamani sana, na alikuaga ni dem anaependa story. Siku moja tumetoka job Jumamosi mida ya sa nane tukakutana na father house akasema anasafiri atarudi baada ya kama siku 3. Nikamwambia jamaa yangu kumbe huyu mzee huwa anasafiri anamuacha manzi? Hapo akili ya kujilia usiku usiku ikaja. Jamaa yangu akanambia najua akili yako, ila usithubutu maana huo ni mtego hata mimi alinifanyia sana pindi nimehamia na hadi leo anafanyaga mara mojamoja.

Nikamuuliza anafanyaje? Akasema ngoja utaona. Basi siku hiyo tukatoka jioni tukaenda bar moja inaitwa Nyinda ipo mitaa ya juu tu na home, jamaa yangu akanambia subiri hadi mida ya saa sita hivi ndo turudi home. Kule geto tuliacha taa inawaka huku tumefungulia mziki. Kweli mida ya saa sita tukarudi, jamaa akanambia tutege sehemu kwenye giza tusionekane.

Basi kweli tukaona mtu anaenda dirishani halafu kama anaskilizia then anatoka anaenda nyuma ya nyumba, baada ya kama dak 15 anarudi tena. Mimi akilini nikahisi mwizi, ndo jamaa akanambia yule ni faza hausi. Ndo mambo yake hayo analinda mali kujua kama kuna anaemgongea mke wake. Basi tukaenda ile tunatokeza hivi tunakutana nae akaanza kuzuga eti karudi muda ule toka safari alienda na kugeuza. Hapohapo akamgongea mke wake nae akazama ndani. Nilimdharau yule mzee balaa kwa ule utoto alokuwa anafanya


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Chai hii ..eti wanapasha wanazunguka..

Kama kweli unaweza mpanga polisi mmoja mwenye silaha na mwingine wakakupiga Pingu mkaenda Hadi hapo ikawa kama uko chini ya ulinzi ulachukua kwanza vya muhimu...na Mzee akaelezwa Una Kesi ya ujambazi .akahojiwa kiaina ...baasi...

Next time unatumia watu wanabeba vilivvyo Baki ila lazima uhamie huo mkoa
 
Chai hii ..eti wanapasha wanazunguka..

Kama kweli unaweza mpanga polisi mmoja mwenye silaha na mwingine wakakupiga Pingu mkaenda Hadi hapo ikawa kama uko chini ya ulinzi ulachukua kwanza vya muhimu...na Mzee akaelezwa Una Kesi ya ujambazi .akahojiwa kiaina ...baasi...

Next time unatumia watu wanabeba vilivvyo Baki ila lazima uhamie huo mkoa
Kama sio chai achukue huu ushauri pia sio mbaya....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom