Najuta kutafuta mchumba JF kwa utani

Najuta kutafuta mchumba JF kwa utani

wakubwa sana wababa Kweli hadi nikaona aibu

Wakubwa!!! Bongo bana,kila kitu ni imagination! Wakati unatamka ulikuwa umerukwa na akili? Wewe unatakiwa kushitakiwa wala ignorance yako haiwezi kukusaidia mbele ya sheria. How many men and how much have been affected by your ignorance physically,mentally and materially? Will they trust any more people or ideas from this blog? Omba Mungu ubaki under 18,lakn ukifika 40 utakuwa mzee mara dufu ya hao wababa.
 
Chezea fursa wewe _______________________ We mdada mirejesho hii ndio unawaumiza jumla aisee unaakil wewe umekacha wazee umefanikiwaje maana vijidada vingine vinapenda vibabu hata mishipa ya aibu havina ___________ Vipoyoyo tu Aisee kwahiyo ulutest zali sio ? Next time be sure unaweza uje ng'olewa meno hivi hivi :typing:
 
ahaaaa kwaiyo wakajimwaga? ila naommba nikukumbushe kama unataka kitu roho inapenda sio jf badili njia humu ni majanga.

Ni kweli watu walioko jf ndo tunaishi nao mitaan ila usijaribu kuwa na mtu kutoka jf na bora ukutane na mtu ambae hujui kuwa yuko jf ila uwe umeridhika naye from the begining. Jf NOOO!

Ninachokiamini jf kuna good "just a friend" ila sio mahusiano take note

hata mimi jamani?
 
Hapana hata sisi wanaume wa JF tunawaona wadada wa humu wanajeshi pia so hatutakani kwani JF ni kituo cha police ? basi mimi sipo JF njoo tukutane
 
Tuishi kwa amani tu,wajamini. Kuna maisha baada ya hii post ya ajabu ajabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom