Najuta kutafuta mchumba JF kwa utani

Najuta kutafuta mchumba JF kwa utani

Ka research ka aina yake....
Madomo zege ndo wamekuja... wanaume tutafute watu laiv, kazini,mtaa wa nne, kwenye sherehe, nyumba za ibada...ilimradi muonane... unataftia mwanamke fb? Kweli? Afu 40&above?
 
Basi njoo kwangu mremboo hapa utapata rahaa zotee. Nipe Accnt yko pia unajua Ku drive!! Vitu vingne mtoto nitafute pembeni mi age yang ni 41! Sina kitambii kabisaaaa
 
Ka research ka aina yake....
Madomo zege ndo wamekuja... wanaume tutafute watu laiv, hkazini,mtaa wa nne, kwenye sherehe, nyumba za ibada...ilimradi muonane... unataftia mwanamke fb? Kweli? Afu 40&above?
Hapo sasa?
 
Basi njoo kwangu mremboo hapa utapata rahaa zotee. Nipe Accnt yko pia unajua Ku drive!! Vitu vingne mtoto nitafute pembeni mi age yang ni 41! Sina kitambii kabisaaaa
hata unipe ndege sitaki
Sitaki mtu sitaki chochote
 
Kwani zamani ulikuwa unatumia ID gani???????

JF ni bongo dasalamu, ukijichezesha mtoto wa kike utaumia wewe na mabazazi wa humu otherwise uwe ni mwanaume unacheza na akili za watu.

Zaidi ya yote pole na matatizo ya upweke.
 
hata unipe ndege sitaki
Sitaki mtu sitaki chochote

Jamani mrembo wangu usininyime usingizi! Mke wangu amefariki ameniacha na Glades wanguu nahitaji mama wa kunilea mim na glades wanguu! Age ya glades ni mwaka 1. Tusaidiane mumy kufurah hu muda uliobaki hapa kwa dunia Mtikila keshs wah
 
Kumbe siku hizi upo upo na huku best, ulikuwaga unasoma tu unasepa

Hahahaaaa best nikiona kitu cha kunichekesha kama hivi najibu ila sijahamia.
Niko siasani kwa sasa hata umbea nimeacha.
 
Hahahaaaa best nikiona kitu cha kunichekesha kama hivi najibu ila sijahamia.
Niko siasani kwa sasa hata umbea nimeacha.

Hahaa hiyo safi lakini, mara moja moja si mbaya, huko siasani mimi mmh nimechagua kuwa msomaji tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom