Najuta kutafuta mchumba JF kwa utani

Najuta kutafuta mchumba JF kwa utani

Aiseeee hata mm cjakusamehe unachezaje na akili zetu watu wazma km cc yabid tukupge fain
 
Jamani mrembo wangu usininyime usingizi! Mke wangu amefariki ameniacha na Glades wanguu nahitaji mama wa kunilea mim na glades wanguu! Age ya glades ni mwaka 1. Tusaidiane mumy kufurah hu muda uliobaki hapa kwa dunia Mtikila keshs wah

Khaaaaaa mtikila anahusika vipi na wewe kumhitaji huyo mrembo?
 
Nimecheka mpaka basi.Ndo tujifunze si kila anayepost anatafuta mchumba yupo serious wengine wanajifurahisha tu ili wacheze na akili za watu
 
uliyataka mwenyewe mi nilikwambia tupe nafasi hiyo sisi vijana tulio na mipango ya kuoa, we unang'ang'ania miaka 40
 
Kwa lile bandiko lako la kumshauri Diamond kule Celebrities nilikuonaga hamnazo kabisa!...nilipokukuta tena Love Connect nikajua ni stress tu,maisha yashakuchapa!
Ni kweli unaamini kuna mwanaume wa miaka 40 alieumia moyo kwa ajili yako 'a total stranger!?'
usikute umeleta sanaa chuo cha sanaa bagamoyo!
 
Kwa lile bandiko lako la kumshauri Diamond kule Celebrities nilikuonaga hamnazo kabisa!...nilipokukuta tena Love Connect nikajua ni stress tu,maisha yashakuchapa!
Ni kweli unaamini kuna mwanaume wa miaka 40 alieumia moyo kwa ajili yako 'a total stranger!?'
usikute umeleta sanaa chuo cha sanaa bagamoyo!
sasa. Cha hamnazo kwenye ushauri Wa diamond ni nini? Siku Ivan akichukua hatua ndo utajua sheria hainaga kuuza sura.
Ukweli always unauma lakini
 
wakubwa sana wababa Kweli hadi nikaona aibu

We kwani una umri gani, je umri huo wa fourty, hakujua atakuwa namna gani au Dharau tu ilikujaa!!, kwanza fourty si mkubwa. Nijuavyo hakunaga mwanaume mzee kwa mwanamke , tembea uone variances.
 
We kwani una umri gani, je umri huo wa fourty, hakujua atakuwa namna gani au Dharau tu ilikujaa!!, kwanza fourty si mkubwa. Nijuavyo hakunaga mwanaume mzee kwa mwaonamke , tembea uone variances.
we we unajua mi nipoje? Mtu Wa 45 48 unadhani yupoje kuwa fair na comment zako
 
sasa. Cha hamnazo kwenye ushauri Wa diamond ni nini? Siku Ivan akichukua hatua ndo utajua sheria hainaga kuuza sura.
Ukweli always unauma lakini

sawa bibie baki na huo 'ukweli' wako na mimi nibaki na UKWELI wangu,wewe ni hamnazo kabisa!
Ukweli always unauma lakini!
 
sawa bibie baki na huo 'ukweli' wako na mimi nibaki na UKWELI wangu,wewe ni hamnazo kabisa!
Ukweli always unauma lakini!
walaaa hunitishi kama mi ni hamnazo utajiju mwenyewe.
We we una kitu gani Sijui.
Sili sipumui kwako and I will never be!
Your just a useless figure to me so what shall I care??
Pls reserve your comments and your idiotic insults cause I don't care at all!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom