Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 993
- 1,274
Mwanaume aliyefiwa na mkeMgane ni watu wa namna gani?
Mwanaume aliyefiwa na mkeMgane ni watu wa namna gani?
Asante kwa kunieleweshaMwanaume aliyefiwa na mke
Pole ila usiwe unatafuta pm kwa lazima,..kuna watu wako sirias. Usicheze na hisia za watu bana..Me ni mtu mstaarabu sana yes I got some weaknesses! Nilikuja hapa kutafuta mtu maana nipo mpweke sana msema kweli mpenzi wa Mungu naombeni mnisamehe.Ni Kweli sina mpenzi ila sikuwa naitaji mtu kiukweli kivile maana sijajipanga vizuri kimaisha.
Baada ya ile tangazo kweli nilipata watu ila nimeishia tu kugombana nao.Ila na wao wana makosa maana nilisema ninataka mtu mgane ila wao wameachana na wake zao tu mimi sikusema nataka watalaka.kwa iyo mnaonilaumu nimewaumiza mioyo yenu na nyie hamkufata maelezo vilevile.
Pia nilitaka mtu mzima maana vijana sio wakweli ila nine notice miaka 40 kwenda juu kumbe wanakuwa wababa sana loh! Inakuwa shiida jamani me sio mkubwa kiviile nioneeni huruma mwisho naombeni mnisamehe nitarudi tena nikiwa tayari nisameheni sana hata simu nimebadili.
Hata hivo mkumbuke mwisho wa siku anatakiwa mmoja mtu akikuambia hataki we kubali tu.
One love
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] amazing, 40+ ni wababa sana? Lakini pia hutaki vijana...![emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Me ni mtu mstaarabu sana yes I got some weaknesses! Nilikuja hapa kutafuta mtu maana nipo mpweke sana msema kweli mpenzi wa Mungu naombeni mnisamehe.Ni Kweli sina mpenzi ila sikuwa naitaji mtu kiukweli kivile maana sijajipanga vizuri kimaisha.
Baada ya ile tangazo kweli nilipata watu ila nimeishia tu kugombana nao.Ila na wao wana makosa maana nilisema ninataka mtu mgane ila wao wameachana na wake zao tu mimi sikusema nataka watalaka.kwa iyo mnaonilaumu nimewaumiza mioyo yenu na nyie hamkufata maelezo vilevile.
Pia nilitaka mtu mzima maana vijana sio wakweli ila nine notice miaka 40 kwenda juu kumbe wanakuwa wababa sana loh! Inakuwa shiida jamani me sio mkubwa kiviile nioneeni huruma mwisho naombeni mnisamehe nitarudi tena nikiwa tayari nisameheni sana hata simu nimebadili.
Hata hivo mkumbuke mwisho wa siku anatakiwa mmoja mtu akikuambia hataki we kubali tu.
One love
Kha! kwani wee uko darasa la sita hata ukataka kurukia kazi za waliokuzidi umri?eti unasema miaka 40 ni wazee? haukua serious wewe!,siku nyingine usirudie huo ujinga wako,baki hivyo hivyo na kuchagua kwako wapenzi mwisho wa siku miaka inaenda unajikuta ushazeeka na wanawake mnavyojua kuzeeka haraka sijui atakutaka nani, utatafuta hata wa miaka 50 na usimpate ukaishia kugegedwa na vimario uchwara.Me ni mtu mstaarabu sana yes I got some weaknesses! Nilikuja hapa kutafuta mtu maana nipo mpweke sana msema kweli mpenzi wa Mungu naombeni mnisamehe.Ni Kweli sina mpenzi ila sikuwa naitaji mtu kiukweli kivile maana sijajipanga vizuri kimaisha.
Baada ya ile tangazo kweli nilipata watu ila nimeishia tu kugombana nao.Ila na wao wana makosa maana nilisema ninataka mtu mgane ila wao wameachana na wake zao tu mimi sikusema nataka watalaka.kwa iyo mnaonilaumu nimewaumiza mioyo yenu na nyie hamkufata maelezo vilevile.
Pia nilitaka mtu mzima maana vijana sio wakweli ila nine notice miaka 40 kwenda juu kumbe wanakuwa wababa sana loh! Inakuwa shiida jamani me sio mkubwa kiviile nioneeni huruma mwisho naombeni mnisamehe nitarudi tena nikiwa tayari nisameheni sana hata simu nimebadili.
Hata hivo mkumbuke mwisho wa siku anatakiwa mmoja mtu akikuambia hataki we kubali tu.
One love
Dunia imebeba mengiWanadamu tuna mahangaiko mengi
shostisho ni shiiieder chezea vibabu weye