Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,868
- Thread starter
- #61
nishasema sitaki bwana.sijajipanga hataKwani ukoje, kuwa muwazi, tujue pa kuanzia dada au ulitakaje hasa.
nishasema sitaki bwana.sijajipanga hataKwani ukoje, kuwa muwazi, tujue pa kuanzia dada au ulitakaje hasa.
issue so age Tu.wengine hawakufata mashartiKumbe vibabu ndio wengi!!!!!!
Lol basi tena
nishasema sitaki bwana.sijajipanga hata
huku sirushi Tena mguuOoook, usiku mwema, ukishajipanga nione kwanza please.
Me ni mtu mstaarabu saana.yes I got some weaknesses!
Nilikuja hapa kutafuta mtu maana nipo mpweke sana
Msema Kweli mpenzi Wa mungu naombeni mnisamehe.
Ni Kweli sina mpenzi ila sikuwa naitaji mtu kiukweli kivile maana sijajipanga vizuri kimaisha.
Baada ya ile tangazo Kweli nilipata watu ila nimeishia tu kugombana nao.
Ila na wao wana makosa maana nilisema ninataka mtu mgane ila wao wameachana na wake zao Tu.me sikusema nataka watalaka.kwa iyo mnaonilaumu nimewaumiza mioyo yenu na nyie hamkufata maelezo vilevile.
Pia nilitaka mtu mzima maana vijana sio wakweli ila nine notice miaka 40 kwenda juu kumbe wanakuwa wababa sana loh ! Inakuwa shiida jamani me sio mkubwa kiviile nioneeni huruma
Mwisho naombeni mnisamehe nitarudi tena nikiwa tayari.nisameheni sana .hata simu nimebadili .
Hata hivo mkumbuke mwisho Wa siku anatakiwa mmoja mtu akikuambia hataki we kubali tu .
One love
walaaa hunitishi kama mi ni hamnazo utajiju mwenyewe.
We we una kitu gani Sijui.
Sili sipumui kwako and I will never be!
Your just a useless figure to me so what shall I care??
Pls reserve your comments and your idiotic insults cause I don't care at all!
go and roast in hell.useless manaiseee!...hamnazo uwe wewe,kujiju nijiju mimi tena?
Umegombana na 'useless figures' ambazo huli wala hupumui kwao and you will never be, hadi umebadili namba ya simu!,una akili wewe sasa!!!?
Umeanzisha mada kwa kiswahili,unakuja na kizungu chako cha ugoko ili iweje?
We hamnazo kabisa!
Kwaheri!
go and roast in hell.useless man
Umeitwa kwenye post zangu??umealikwa ??? We ndo hamnazo kabiiisa huna kitu
Kafie mbali huko kama mtikila
I hate u to death!
nishakusoma mahali kumbe una stress za maisha kishenzi sasa hasira zako unataka kumalizia watu humusasante!
...mmmmmwaaa!.la 22,
....mmmmmwaaa!...la 23,
...k!azi unahesabu lakini?
nishakusoma mahali kumbe una stress za maisha kishenzi sasa hasira zako unataka kumalizia watu humus
Poor kid! Am sory from.now on pls stay away from me!
Usinifanye nifungiwe bure
We mgane?
Vigezo na masharti hamkuzingatia....
Eti wenye miaka 40 ni wakubwa sana eeeh????
Kwa hicho ki-English, hata wale vijana makini waliokuwa na nia ya kukunyatia humu, weshakukimbia!.walaaa hunitishi kama mi ni hamnazo utajiju mwenyewe.
We we una kitu gani Sijui.
Sili sipumui kwako and I will never be!
Your just a useless figure to me so what shall I care??
Pls reserve your comments and your idiotic insults cause I don't care at all!
shostisho ni shiiieder chezea vibabu weye
Halafu si bure huyu mtoa mada ni dume linatuzingua tu hapa.
Me ni mtu mstaarabu saana.yes I got some weaknesses!
Nilikuja hapa kutafuta mtu maana nipo mpweke sana
Msema Kweli mpenzi Wa mungu naombeni mnisamehe.
Ni Kweli sina mpenzi ila sikuwa naitaji mtu kiukweli kivile maana sijajipanga vizuri kimaisha.
Baada ya ile tangazo Kweli nilipata watu ila nimeishia tu kugombana nao.
Ila na wao wana makosa maana nilisema ninataka mtu mgane ila wao wameachana na wake zao Tu.me sikusema nataka watalaka.kwa iyo mnaonilaumu nimewaumiza mioyo yenu na nyie hamkufata maelezo vilevile.
Pia nilitaka mtu mzima maana vijana sio wakweli ila nine notice miaka 40 kwenda juu kumbe wanakuwa wababa sana loh ! Inakuwa shiida jamani me sio mkubwa kiviile nioneeni huruma
Mwisho naombeni mnisamehe nitarudi tena nikiwa tayari.nisameheni sana .hata simu nimebadili .
Hata hivo mkumbuke mwisho Wa siku anatakiwa mmoja mtu akikuambia hataki we kubali tu .
One love