Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

Tatizo mnasoma kozi kwa kufuata mkumbo bila kuangalia soko la ajira.Mara BBA,HR,Socilogy n.k.Ungesoma education ungejikuta sasa hivi unapiga mluzi tu.Somo zuri sana wengine wajifunze



wanaponnda education ni mbaya ni yakimasikin or cjui nini ila wakikosa kazi wanaitafuta tena wanaifanya kwa manyanyaso
 
Habari zenu ndugu,

Ni kipindi kirefu nimekua nikiangaika kutafuta ajira pasipo mafanikio.

Nimefanya interview zakutosha lakini nimekua nikiambulia ahadi tu za kupigiwa simu toka kwa ma HR ambazo hazina ukweli wowote.

Kitu kikubwa kinachotukosesha ajira sisi vijana ni kipengere cha experience ambapo waajiri wengi wanahitaji uzoefu usiopungua miaka mitatu na kuendelea.

Swali ni je nawezaje kupata huo uzoefu wakati ofisi nyingi hazitaki kuniajiri na hata ninapoomba kujitolea naambiwa nafasi hakuna ?

Kwa kifupi ndugu zangu nimekata tamaa kabisa kama siku moja nitakuja ajiriwa na najutia miaka mitatu niliyoipoteza chuoni pamoja na ada niliyoitumia kwani laiti ningejua ni bora ile ada ningeitumia kwenye kujiajiri kuliko kupoteza pesa na muda wangu.

Yani hapa nasubiri miujiza ya mwenyezi Mungu tu kwakweli.

Eeeh Mungu tuangalie waja wako,tuko kwenye kipindi kigumu sana.

Nadhani shida si elimu ya chuo kikuu, bali kuandaliwa uajiriwe tu... Isingekiwa hiyo elimu, hata kutoa malalamiko haya kimaandishi ingekuwa shida.
 
Pole sana mkuu
Ukiona vipi mcheki Nyani Ngabu akupe michongo ya schedule za kubeba boksi
 
"For indeed, Education for service not white collar jobs and comfortable salaries"
By Mwl Nyerere.
 
Nenda kwa mtaalamu atakuunganisha kifurushi cha experience cha maika hata mitano just in a minute!
 
Mkuu kama upo dar..peleka cv yako erolink then ni pm nikusaidie upate pesa ya sabun angalau....
Hawa watu wameruhusiwa lini kufanya kazi?serikali si ilishawapiga marufuku?na pia wameshakidh vigezo na masharti ya wizara ya mama Kabaka?
 
Hawa watu wameruhusiwa lini kufanya kazi?serikali si ilishawapiga marufuku?na pia wameshakidh vigezo na masharti ya wizara ya mama Kabaka?

Mkuu hili unasema ww...erolink wapo leo kesho na hata mwakan..serikal ilishasanda zaman...kama uaminin nenda voda customer care mshahara uleule na wapo had sasa...serikal haiko makin hii usipoteze muda wako...
 
Soko la ajira ni finyu so inakuwa ngumu kwa vijana wengi kutoboa
 
Mkuu hili unasema ww...erolink wapo leo kesho na hata mwakan..serikal ilishasanda zaman...kama uaminin nenda voda customer care mshahara uleule na wapo had sasa...serikal haiko makin hii usipoteze muda wako...
Nimeuliza tu.Na uzuri umetoa majibu mujarabu ambayo yatasaidia wengine kujua kinachoendelea,yalikuwa ni maswali ya kiuchokozi tu
 
Mwaminu Mungu tu bila kukata tamaa! Pole


Habari zenu ndugu,

Ni kipindi kirefu nimekua nikiangaika kutafuta ajira pasipo mafanikio.

Nimefanya interview zakutosha lakini nimekua nikiambulia ahadi tu za kupigiwa simu toka kwa ma HR ambazo hazina ukweli wowote.

Kitu kikubwa kinachotukosesha ajira sisi vijana ni kipengere cha experience ambapo waajiri wengi wanahitaji uzoefu usiopungua miaka mitatu na kuendelea.

Swali ni je nawezaje kupata huo uzoefu wakati ofisi nyingi hazitaki kuniajiri na hata ninapoomba kujitolea naambiwa nafasi hakuna ?

Kwa kifupi ndugu zangu nimekata tamaa kabisa kama siku moja nitakuja ajiriwa na najutia miaka mitatu niliyoipoteza chuoni pamoja na ada niliyoitumia kwani laiti ningejua ni bora ile ada ningeitumia kwenye kujiajiri kuliko kupoteza pesa na muda wangu.

Yani hapa nasubiri miujiza ya mwenyezi Mungu tu kwakweli.

Eeeh Mungu tuangalie waja wako,tuko kwenye kipindi kigumu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom