OFISA:Mtalaka ni mtamu sanaaaaa na utamu wao hua hauishi wala hauchuji naongea kutokana na experience, weye lea mimba tuu ila ndani usimuingize maana km mlipelekana Bakwata na talaka mkapeana yakupasa aolewe upya na aachike ndio umuoe tena ss na hilo tumbo nani atamuoa? la sivyo ukiamua kumrudisha ndani mtakua mnaendelea kuzini km mlivyozini ukampa kitumbo ndiiiiii
nimecheka kama mazuri vile...eti kitumbo ndiiOFISA:Mtalaka ni mtamu sanaaaaa na utamu wao hua hauishi wala hauchuji naongea kutokana na experience, weye lea mimba tuu ila ndani usimuingize maana km mlipelekana Bakwata na talaka mkapeana yakupasa aolewe upya na aachike ndio umuoe tena ss na hilo tumbo nani atamuoa? la sivyo ukiamua kumrudisha ndani mtakua mnaendelea kuzini km mlivyozini ukampa kitumbo ndiiiiii
Dahhhhh ushauri huu mwishoni unaumaàmtego wa mwizi kanasa askari haahhahaha, yaani nimekuvua vyeo vyote umetegwa kizembe ivo
haya utawaeleza bakwata usikie wanasemaje juu ya huo mzigo mpya
Hi wana bodi,
Nipo na mawazo na majuto kwa kutembea na mtalaka wangu,
Mtalaka wangu tumeachana miaka minne iliyo pita, kinachoniuma kwa hii miaka minne ya kuachana nae kanisumbua sana kuanzia bakwata, ustawi wa jamii mpaka mahamakani ,huku kote akidai matunzo ya mtoto.
Anachotaka yeye ni mahakama impe %ya kipato changu badala ya mimi ninavyo mtumia.
Sasa kufuatana fuatana nimejikuta natembea nae ili kumshawishi asinipeleke mahakamani kwani sipendi kufikishwa huko.
Sasa ameanza usumbfu kuwa amenasa na alikuwa anataka sana mtoto wa nyongeza azae na mimi, na anasema Mungu amejibu dua yake kwani alikuwa ana ombea niwe baba wa watoto wake tena. Sasa kwa hii miaka minne shubiri niliyoipata kwake nimeichoka lakini mwezangu hajali kama mimi sasa Nina maisha mapya anachodai mimba hii tutailea wote tukiwa nyumba moja.
Naomba ushauri ,hivi kuna waganga wa kutoa mimba rimoteness.?