Najuta kumuonea huruma na kutembea nae

Najuta kumuonea huruma na kutembea nae

ni vizuri ukambana kuhusu kupima DNA, kama kweli anajigamba kuwa alitaka kuzaa naww tena plus usumbuf wake na tamaa alizonazo kuna uwezekano mkubwa hiyo mimba ni fake au unabambikiwa sio yako,,,,, kuwa makini sana unappo-deal na hawa viumbe maana sometimes wana akili sana ukizubaa kakupiga 3-0
 
hiki kichwa kingekuwa na uwezo wa kushika bastola sijui mambo kingefanya maana kila kukicha kinatupiwa lawama kama n korea
sio lawama ndio ukweli huo,au wewe kwa akili yako hapo unaonaje kuhusu uzi huuu ?
 
Ujue wanawake hawapendi kuwa na mtoto na baba yake basi inatokea tu kwa hiyo huyo amefanya hivyo kwa makusudi na shida hiyo uliyoipata hatafanya tena kwa sababu adhima yake imetimia
 
Anakupenda lakini ni crazy woman. So ndo ushaingia mtegoni we mrudishe tu uishi naye. Bado anakupenda sana. Mtoto akikua ndo umwache kama ataendelea kuwa hivyo alivyo. Pole sana
 
Back
Top Bottom