*Kutoa mimba hapo mie siafiki mkuu samahani sana!Hi wana bodi,
Nipo na mawazo na majuto kwa kutembea na mtalaka wangu,
Mtalaka wangu tumeachana miaka minne iliyo pita, kinachoniuma kwa hii miaka minne ya kuachana nae kanisumbua sana kuanzia bakwata, ustawi wa jamii mpaka mahamakani ,huku kote akidai matunzo ya mtoto.
Anachotaka yeye ni mahakama impe %ya kipato changu badala ya mimi ninavyo mtumia.
Sasa kufuatana fuatana nimejikuta natembea nae ili kumshawishi asinipeleke mahakamani kwani sipendi kufikishwa huko.
Sasa ameanza usumbfu kuwa amenasa na alikuwa anataka sana mtoto wa nyongeza azae na mimi, na anasema Mungu amejibu dua yake kwani alikuwa ana ombea niwe baba wa watoto wake tena. Sasa kwa hii miaka minne shubiri niliyoipata kwake nimeichoka lakini mwezangu hajali kama mimi sasa Nina maisha mapya anachodai mimba hii tutailea wote tukiwa nyumba moja.
Naomba ushauri ,hivi kuna waganga wa kutoa mimba rimoteness.?
Siogopi kulea,shida ni aina ya mama anaelea watoto wangu na ulimwengu huu wa sasa.Haaaaaa ukachovya Tena..,.tena na tena....Lea wanao
Hehehe!!!!rimoteless(ndiyo nini mkuu)Hi wana bodi,
Nipo na mawazo na majuto kwa kutembea na mtalaka wangu, mtalaka wangu tumeachana miaka minne iliyo pita, kinachoniuma kwa hii miaka minne ya kuachana nae kanisumbua sana kuanzia BAKWATA, Ustawi wa Jamii mpaka mahamakani, huku kote akidai matunzo ya mtoto.
Anachotaka yeye ni mahakama impe %ya kipato changu badala ya mimi ninavyo mtumia. Sasa kufuatana fuatana nimejikuta natembea nae ili kumshawishi asinipeleke mahakamani kwani sipendi kufikishwa huko.
Sasa ameanza usumbfu kuwa amenasa na alikuwa anataka sana mtoto wa nyongeza azae na mimi, na anasema Mungu amejibu dua yake kwani alikuwa ana ombea niwe baba wa watoto wake tena.
Sasa kwa hii miaka minne shubiri niliyoipata kwake nimeichoka lakini mwezangu hajali kama mimi sasa nina maisha mapya anachodai mimba hii tutailea wote tukiwa nyumba moja.
Naomba ushauri, hivi kuna waganga wa kutoa mimba rimoteness.?
aisee ni kweli kujisahau kupo na kunagharimu....suala hapa la kutoa mimba na kuwe na mwafaka ya wote wawili na ilivyo sasa ni kwamba yeye anataka mrudiane na hii mimba ndio tiketi inayompa nguvuNdio ishatokea,Mishauri jinsi ya kumtoa mapema ,kuhusu kondom,sisi tunapanga yetu Mungu nae hupanga yake.
Ndio ukome. Hapo ni matokeo ya Kichwa kidogo kinapoongoza kichwa kikubwa