Najuta kumuoa mwanamke huyu

Najuta kumuoa mwanamke huyu

kungurumanga

Senior Member
Joined
Sep 4, 2015
Posts
175
Reaction score
44
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
 
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.

utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.
 
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.

muweke chini umueleze .amejisahau tu ndoa ni kuelekezana pia.usijuuute!
 
Piga vibao ,kuwa na msimamo thabiti,bado siamini kama mkeo anaweza kukunyima papuchi,
 
Mkuu si anabania hiyo ze dudu!kula hausi geli halafu yeye usimchape nao miezi 7
 
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.

Shikamoo mkuu,, u kill it
 
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.

huu nao ni ushaur dah!
 
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.

Ndugu , pole Sana. Haya mambo yalinikuta miaka minne iliyopita. Issue inawezekana ni stresses za new born ambazo zimemfanya kuchoka kukupa mapenzi na yeye kuonelea kazi iliyopo ni kumwangalia huyo mtoto maana kazi ya ligwaride imemshinda . Jaribu kumsadia walau kazi anazofanya za vikoba labda zitamuamsha aone kwamba unamjali...jaribu Sana kupunguza malalamiko vinginevyo utaelekea kule kunakoitwa divorce ambalo mimi nilielekea ... Hata huko pia hakuna nafuu , mapenzi ni Kama graph, yanapanda na kushuka... Siku akikupa mshushie mzigo na jitume haswa na hakikisha unamfikisha kileleni na kuacha kumbukumbu nzuri akilini mwake za kukutaka zaidi . Vinginevyo utapoteza au umepoteza mvuto na yeye amechoka tayari kwa sababu ya new addition.
 
Ndio maana kapoteza mvuto kwako.......

Maana hata mtoto wenu unamuita mtoto wake.... hivi hata kumbeba huyo mtoro unambeba kweli??? Unaporudi toka kwenye mihangaiko unakaaa hata kucheza na mtoto???

Hivi unazungumza na mkeo kweli na kujua anayopitia na changamoto zake????

Maji ya kuoga bado hata baada ya miaka 50 ya uhuru mnaweka kwenye ndoo na kupelekeana bafuni??? Kwa style hiyo mara ya mwisho kuoga na mkeo ilikuwa lini????

Unatimiza majukumu yako kweli? Maana mkeo asingekimbilia vikoba.

Ndoa inajengwa na wawili. Njia pekee ni wewe na mkeo kukaa chini kuzungumza na kutafuta muafaka....


alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
 
pengine unamuonea wivu mtoto(hutokea) au pengine mkeo anajiona amepata kitu kitakachofanya asiweze kuachwa kamwe (anatumia mtoto kama bima ya ndoa). tafakari, chukua hatua.
 
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.

ohooo vipi tena! mbona hilo fail la wizara ya mambo ya ndani unalipekea kwenye wizara mambo ya nje!
 
Hahaha.
Yaani ni sawa na mama alalamike mwanangu anakataa kula. Sasa kama kila siku unachemsha ndizi za chumvi unasaga kwa blender unaweka kwenye kikombe atakula kweli? Hamna karoti wala maziwa wala manjonjo.

Dah
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.
 
Ndoa za siku hizi.
Hapo mwisho dada, njia pekee ni yeye kuanza kuwa mume na baba. Yaani kuanza kusimama kwenye nafasi yake
Ndio maana kapoteza mvuto kwako.......

Maana hata mtoto wenu unamuita mtoto wake.... hivi hata kumbeba huyo mtoro unambeba kweli??? Unaporudi toka kwenye mihangaiko unakaaa hata kucheza na mtoto???

Hivi unazungumza na mkeo kweli na kujua anayopitia na changamoto zake????

Maji ya kuoga bado hata baada ya miaka 50 ya uhuru mnaweka kwenye ndoo na kupelekeana bafuni??? Kwa style hiyo mara ya mwisho kuoga na mkeo ilikuwa lini????

Unatimiza majukumu yako kweli? Maana mkeo asingekimbilia vikoba.

Ndoa inajengwa na wawili. Njia pekee ni wewe na mkeo kukaa chini kuzungumza na kutafuta muafaka....
 
ndoa ni uvumilivu wala usijute na wala hujakosea ukimuache anayeteseka ni.mtoyo wako ambaye hana hatia atakosa upendo wa malezi ya baba na mama kama ni wa kristo hakikisha hamkosi kanisani mnaenda pamoja Neno la Mungu linaponya na.msome biblia mbona kitaisha hilo mchungaji pia atakusaidia mawazo.
 
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.

Kwani mapenzi ni kukutengea chakula na kukuwekea maji ya kuoga?

Hivi huwa mnanunuwa watumwa wa kuwaweka nyumbani?
 
Kwani mapenzi ni kuletea chakula na kukuwekea maji ya kuoga?

Hivi huwa mnanunuwa watumwa wa kuwaweka nyumbani?

faidha kumbuka unazungumza na muafrica sio wewe faidha jina zuri ukalichukua na la fox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom