Najuta kumuoa mwanamke huyu

Najuta kumuoa mwanamke huyu

Hayo mbona yanazungimzika....? Udhaifu wako unatutia aibu wanaume
 
faidha kumbuka unazungumza na muafrica sio wewe faidha jina zuri ukalichukua na la fox

Mwafrika asiyejijuwa ndiyo ananunuwa mwanamke kumweka ndani amfanyie kazi.

Hivi bado wapo tu wanawake wasiojielewa?

Kwetu hakuna hiyo, tunalishwa na kuvishwa.

Halafu ni Foxy siyo "fox".
 
Ndio maana kapoteza mvuto kwako.......

Maana hata mtoto wenu unamuita mtoto wake.... hivi hata kumbeba huyo mtoro unambeba kweli??? Unaporudi toka kwenye mihangaiko unakaaa hata kucheza na mtoto???

Hivi unazungumza na mkeo kweli na kujua anayopitia na changamoto zake????

Maji ya kuoga bado hata baada ya miaka 50 ya uhuru mnaweka kwenye ndoo na kupelekeana bafuni??? Kwa style hiyo mara ya mwisho kuoga na mkeo ilikuwa lini????

Unatimiza majukumu yako kweli? Maana mkeo asingekimbilia vikoba.

Ndoa inajengwa na wawili. Njia pekee ni wewe na mkeo kukaa chini kuzungumza na kutafuta muafaka....

Ahsante mkuu..Nimeng'amua kitu hapo..Ilo la kuoga na wife ntaanza nalo lol
 
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.

fafanua hii
 
Mwafrika asiyejijuwa ndiyo ananunuwa mwanamke kumweka ndani amfanyie kazi.

Hivi bado wapo tu wanawake wasiojielewa?

Kwetu hakuna hiyo, tunalishwa na kuvishwa.

Halafu ni Foxy siyo "fox".

fire fox, unaudanganya umma wa kiafrica, watanzania wanamalezi ya aina ya kibantu sio, mabinti manunga embe wamejaa hawaolewi japo na bodaboda akazae, mnabaki kuiga Wazungu, ile culture nyingine kabisa
 
Tafuta mwingine majukumu ya vikoba na kunyonyesha yakiisha ndo unarudisha jeshi
 
mkuu, upo maeneo gani?? kama upo dar nitafute nikuonyeshe dawa! ila tukutane sugar ray au kisuma maeneo ya temeke. nna hakika tatizo lako litaisha kabisa. mana nahisi tatizo ni kuruhusiwa kupenyeza rupia.
 
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.

Wangu zidisha mara mbili ndo utampata
 
Kabla ya kuoa nani alikuwa anakuwekea chakula na maji ya kuoga? Wewe huoni kwamba majukumu yameongezeka kwa mkeo hivyo inabidi msaidiane. Ni lini umemugosha mtoto, umemlisha, umembadlisha nepi usiku? Mambo mengine hayafai hata kulalamika kinachotakiwa msaidie mwenzio na pale unapoona hajafanya wajibu wake ongea naye kwa upendo. Utaacha wangapi sasa, kila mwanamke akizaa anakuwa na jukumu hilo hilo la kumhudumia mtoto kuliko mume hivyo usijute
 
  • Thanks
Reactions: nao
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.
Ujumbe Umefika Sehemu Yake.. Karne Hii Ukiwa Dume kama la Bata Utatafutiwa kisadolini kama sio kidumu.. Kabla Ya Kuudandia Mdoli nilazima Uufikishe pwani angalau Mara mbili tu Kabla Ya Kuianza Safari
 
Ujumbe Umefika Sehemu Yake.. Karne Hii Ukiwa Dume kama la Bata Utatafutiwa kisadolini kama sio kidumu.. Kabla Ya Kuudandia Mdoli nilazima Uufikishe pwani angalau Mara mbili tu Kabla Ya Kuianza Safari

teh et dume la bata
 
Pole mkuu labda nini kilikuvuta mpaka kumuoa maana mke sio kitunguu useme ulikipata gengeni. Mwanamke huishi vile ulivyompokea tangu urafiki wenu, kama ulimpetipeti na hukuonyesha uhalisia wako na sasa unataka akusome ktk uhalisia wako imekula upande wako sababu na yeye alitaka mwanaume legelege.
 
Ninao ushauri.tatizo ameisha juta soo hakuna namna
 
Kaka gegeda Toto la mtu hadi likutamani wakati wote, mara mbili kwa mwezi skuelewi. Kula pweza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom