Najuta kujipendekeza kuoa

Najuta kujipendekeza kuoa

Kuna manzi aliwahi niambia yeye kishakutana na kila aina ya mgegedeo sasa kazi kwangu.....alikuwa anataka kunitunuku tu nipige nisepe tena for free.....kwa mara ya kwanza nilikataa ofa ya lile eneo
 
Acha ushamba wewe, kuuliza nani kakuto.. inasaidia nn kwani? Vitu vingine mwajitakia tu, kula
Monde sasa!

After all suala la kugegedewa ni la kiimani zaidi, coz pale hapachuji au kupauka au kua pachungu mwenzako akila.

Uache kuuliza maswali rhetoric, alaa
 
kuna member hapo kakwambia 4 x 10.....umepata jibu??? endelea na kumuuliza walikugonga x ngapi ngapi???? utajuta.....
 
Habari za leo wana-JF wenzangu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojielezea.

Mwaka jana niliwahi kuomba ushauri baada ya kufuma message nyingi kwenye Facebook account ya mke wangu, nikajipiga moyo konde tukaweka sawa maisha yakasogea. Tatizo limeibuka jana, kabla hatujaoana mwanamke huyu aliwahi kunitajia idadi ya watu alio-date nao kua ni 16 ila waliomgegeda ni 3 sasa jana sijui story zilianzia wapi bwana nikamtega tu hivi flani ktk ile list yako zamani aliwahi kukukisi.

Mweeeeh nikashangaa mtu kainamisha kichwa chini kwa huzuni huku akisema sikutaka kukuambia mume wangu, mwanaume nikajipiga kifua na kumwambia aseme tu. Si ndo akaanza nisimulia kua jamaa alimla bwana, jicho likanitoka. Acha kabisa kusikia taarifa za mkeo alivyoliwa halafu alikuficha ni kama msiba mkubwa.

Kwahiyo wapo 4, akawa analia sana nikampooza ili nijue kama wapo wengine waligegeda akaapa Miungu yote kua ni hao tu hakuna mwingine kabisa. Tangu jana najuta kukurupuka kuoa mapema, bora ningebaki bachela tu niwe nagegeda kistaarabu kisha najisepa, hapa kichwa kinaniuma sina la kusema
Kweli ukimchunguza sana bata humli, ndoa ina majaribu mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole lakini...inasikitisha umeoa mke hana experience kabisa..yani katiwa na vidume vi 4 na wewe ndio wa 5....pole sana.

huyo hakustahili kuolewa...hana kabisa uzoefu...hana style nyingi za kutosha hajajaribu hata kuliwa tigo wewe umeweka ndani jumla umejifunga kabisa daaah.

mpige chini fasta tafuta wazoefu...

angekuwa mzoefu wala hata asingekuambia idadi ya waliomla...kwa kukosa uzoefu anakutajia kilist chake cha kitoto mpaka aibu..

.hao wa 4 waliomla mbona ndio wanatakiwa wawe mabwana zake wa primary school tuu...
hapo weka wengine 12 wa secondary olevel kisha weka wa 5 wa high school then wa 5 wa first year chuo then 15 mpaka anamaliza chuo kisha wa 5 wakati anatafata ajira kisha wa 3 wa ofisini na wa 3 wa mtaani kisha wewe ndio uje uoe.

katika list hiyo lazima watokee wa 2 waliomla tigo wa 3 wenye ngoma wa 5 waume za watu.

Pole sana dogo...umeajiri incompetent employee kwa cheo kikubwa sana thats why anapwaya...cheo cha maza hauzi kinam pwelepweta.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Sasa hapo majuto yanatokana na nini kama si ujinga.Wamekula lakini kitumbua kipo pale pale we kula kwa nafasi yako tena wewe uko huru zaidi kutumia hadi kifuje

great thinker
 
Habari za leo wana-JF wenzangu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojielezea.

Mwaka jana niliwahi kuomba ushauri baada ya kufuma message nyingi kwenye Facebook account ya mke wangu, nikajipiga moyo konde tukaweka sawa maisha yakasogea. Tatizo limeibuka jana, kabla hatujaoana mwanamke huyu aliwahi kunitajia idadi ya watu alio-date nao kua ni 16 ila waliomgegeda ni 3 sasa jana sijui story zilianzia wapi bwana nikamtega tu hivi flani ktk ile list yako zamani aliwahi kukukisi.

Mweeeeh nikashangaa mtu kainamisha kichwa chini kwa huzuni huku akisema sikutaka kukuambia mume wangu, mwanaume nikajipiga kifua na kumwambia aseme tu. Si ndo akaanza nisimulia kua jamaa alimla bwana, jicho likanitoka. Acha kabisa kusikia taarifa za mkeo alivyoliwa halafu alikuficha ni kama msiba mkubwa.

Kwahiyo wapo 4, akawa analia sana nikampooza ili nijue kama wapo wengine waligegeda akaapa Miungu yote kua ni hao tu hakuna mwingine kabisa. Tangu jana najuta kukurupuka kuoa mapema, bora ningebaki bachela tu niwe nagegeda kistaarabu kisha najisepa, hapa kichwa kinaniuma sina la kusema
Kweli ukimchunguza sana bata humli, ndoa ina majaribu mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ukome hayo ya zamani huwa hatuulizagi.unatakiwa kuanza pale unapoanzia na.si.nyuma.itaumia sana mkuu acha kurudia hizo.hbr zilizopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inauma hasa hawa ambao wameshapitapita,kiukweli hakuna siri,kwani hata asipokuambia kadri mnavyoishi utakuja tu kuwajua,kama sio wote basi itakuwa ni baadhi yao aliowahi kuwa nao,kwa sisi waoaji (wanaume) huwa inaumiza kuwa umeoa mwanamke aliepitiwa na idadi kubwa sana ya wanaume,ila kwakuwa umeshapenda unapaswa kutofuatilia,kibaya ni pale utakapokuja kugundua kuwa umeshamuoa na yeye bado ana mawasiliano nao tena ya karibu na ukimuuliza anakwambia ni story tu...
Kunguru hafugiki.
 
Wanawake wafaao kuolewa ni wachache sana
 
Pole lakini...inasikitisha umeoa mke hana experience kabisa..yani katiwa na vidume vi 4 na wewe ndio wa 5....pole sana.

huyo hakustahili kuolewa...hana kabisa uzoefu...hana style nyingi za kutosha hajajaribu hata kuliwa tigo wewe umeweka ndani jumla umejifunga kabisa daaah.

mpige chini fasta tafuta wazoefu...

angekuwa mzoefu wala hata asingekuambia idadi ya waliomla...kwa kukosa uzoefu anakutajia kilist chake cha kitoto mpaka aibu..

.hao wa 4 waliomla mbona ndio wanatakiwa wawe mabwana zake wa primary school tuu...
hapo weka wengine 12 wa secondary olevel kisha weka wa 5 wa high school then wa 5 wa first year chuo then 15 mpaka anamaliza chuo kisha wa 5 wakati anatafata ajira kisha wa 3 wa ofisini na wa 3 wa mtaani kisha wewe ndio uje uoe.

katika list hiyo lazima watokee wa 2 waliomla tigo wa 3 wenye ngoma wa 5 waume za watu.

Pole sana dogo...umeajiri incompetent employee kwa cheo kikubwa sana thats why anapwaya...cheo cha maza hauzi kinam pwelepweta.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
hubu niachie mbavu zangu mie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv kwanini sikuzote tunatafta malaika???ts human nature kutiana, namba kuwa kubwa au ndogo ni mapito tu ya maisha na mazingira uliyopo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom