Aliyekwambia umuulize nani???unajua kila mwanamke ana historia yake mi mwenyew hapa hata idadi sii kumbuki kwa kweli niwe tu mkweli...kama mlipima mpo vizuri shida ipo wapi?ukimchunguza bata hutamla...vumilia tu na kama ulimpenda kweli na ukamuoa hayo yake ya zamani yasahau...ila kama anaendelea na ufuska hilo jambo lingine kabisaHabari za leo wana-JF wenzangu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojielezea.
Mwaka jana niliwahi kuomba ushauri baada ya kufuma message nyingi kwenye Facebook account ya mke wangu, nikajipiga moyo konde tukaweka sawa maisha yakasogea. Tatizo limeibuka jana, kabla hatujaoana mwanamke huyu aliwahi kunitajia idadi ya watu alio-date nao kua ni 16 ila waliomgegeda ni 3 sasa jana sijui story zilianzia wapi bwana nikamtega tu hivi flani ktk ile list yako zamani aliwahi kukukisi.
Mweeeeh nikashangaa mtu kainamisha kichwa chini kwa huzuni huku akisema sikutaka kukuambia mume wangu, mwanaume nikajipiga kifua na kumwambia aseme tu. Si ndo akaanza nisimulia kua jamaa alimla bwana, jicho likanitoka. Acha kabisa kusikia taarifa za mkeo alivyoliwa halafu alikuficha ni kama msiba mkubwa.
Kwahiyo wapo 4, akawa analia sana nikampooza ili nijue kama wapo wengine waligegeda akaapa Miungu yote kua ni hao tu hakuna mwingine kabisa. Tangu jana najuta kukurupuka kuoa mapema, bora ningebaki bachela tu niwe nagegeda kistaarabu kisha najisepa, hapa kichwa kinaniuma sina la kusema
Kweli ukimchunguza sana bata humli, ndoa ina majaribu mengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafaidi nini mkuu kwenye hiyo bikra?tuliobahatika kuoa mabikra tunafaidi jamani,mi ndio maana nampenda na kumheshimu mke wangu kipenzi,alijitunza kwaajili yangu mpk leo tuna miaka 5 kwakweli namshukuru mungu.
Hapoooo jamaniii eee tusiulizane wamepita wangapi unaweza ukazimiaSasa ukweli mchungu ni kwamba wote 16 walikula mzigo, au pengine ni zaidi ya hapo. Yaani kati ya wanaume 16, wamchape wanne tu!!! Labda kama wote kakutana nao darisalama.....
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
unajua bikra zinauzwa dukani????mi nina shoga anguu kaolewa na bikra toka kwa maimatha lakini kashapita na idadi buffalo ya arusha inajaa so kuwa bikra sio ishu aiseeeSasa ukweli mchungu ni kwamba wote 16 walikula mzigo, au pengine ni zaidi ya hapo. Yaani kati ya wanaume 16, wamchape wanne tu!!! Labda kama wote kakutana nao darisalama.....
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app





Ukiona mmoja kamuacha ujue huyo bado anakumbuka gameHahahahahahaha kabla hatujaanza uhusiano miaka hiyo tukiwa marafiki tu alinitajia list ya aliodate nao na waliomgegeda ila huyo mmoja hakumtaja ndo kamtaja jana, itakua ana sababu zake whether ndo alimkuna vizuri yote yanawezekana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
we ongeza manjonjo awasahau...mbona kumsahaulisha mwanamke kitu kidogo sana????mpende mkeo bhanaUmri sio ishu aisee kuna ambao wamechelewa kuanzia na waliowahi ukihesabu kwa umri utashindwaTena ungechelewa kuoa ungekuta kaliwa na watu 50....mimi huwa nakadiria kuwa kila demu wangu kaliwa na watu kadhaa kutokana na umri wake siulizi cz haisaidii kitu as long as mambo yetu yanaenda na ukiona demu anajifanya kukwambia kaliwa na watu wachache ujue muongo tu
Ngoma drooHiyo kitu sijawahi fanya na wala sitakaa nimwambie maana tangu awali nilimdanganya, yeye anajua niliwahi kulala na wanawake 5 ila uhalisia ni zaidi ya 30 so ni kitu ambacho hapaswi kujua hiyo idadi ila bora asingeniambia maana mie niliuliza tu aliwahi kumkisi? Ye akasema kabisa na kugegedwa kitu ambacho sikuwaza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app