nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,206
- 566
Anatania tuwe bwana weee usimnyaganye mwache tu
Anatania tuwe bwana weee usimnyaganye mwache tu
lakini si bado hujaachwa .....bado unayo nafasi ya kumuacha....mkuu inaelekea hapo ulikuwa umefika huna ujanja na ulimwamini 100% ndo maana hadi ukahonga kwa kiwango chako cha juu kabisa......halafu inaelekea umehonga vingi ....au hadi nauli ya kwenda udom ulimpa?.....mapenzi ni sheedah.....Siishi naye. Anaishi kwao. Jana aliniaga anakwenda UDOM kufuata cheti chake. Lakini toka asubuhi hapokei simu. Muda huu ametoka kunitumia text hii.....baby huamini kama nimesafiri? kwenye gari kelele nyingi ndo maana cpokei simu zako. But, kiuhalisia huu ni half time ya mgegedo. Duh, imeniuma siyo siri, mara ya kwanza kuchapiwa. Huwa naacha siyo kuachwa!
We shemeji wewe mi labda nikatwe mikono ndo nitaacha kuishika
unapenda kanisaan murano sio...? rangi gani? njoo tuongee tu!
Awe wako pekee yako ulimuzaa???😂😂😂😂😂😂😂😂
njoo tuongee....Yani nakapenda sana hasa karangi keusi ndio kananivutia sana.Sasa nitafute basi wewe muhongaji.....😀🙁
Hapo umechemka kisawasawa. Mwanaume hawezi kuthibitisha kuwa anampa dozi kisawasawa. Je, kama anapenda TIGO wewe ukaenda voda hata mara 100 unadhani atakuwa ameridhika? Huu ni mfano tu. Nadhani anayemkongoli sasa ndiye anamkojoza
Kuishika? nini?
ya switi wangu
ila ya kubonyezaNini yake?
unamaanisha ajahonga au hawezi kumnyaganya?Anatania tu
Hapo umechemka kisawasawa. Mwanaume hawezi kuthibitisha kuwa anampa dozi kisawasawa. Je, kama anapenda TIGO wewe ukaenda voda hata mara 100 unadhani atakuwa ameridhika? Huu ni mfano tu. Nadhani anayemkongoli sasa ndiye anamkojoza
ila ya kubonyeza
Teh teh ndo tatizo la kufanya mambo nje ya uwezo wako, mchunie tu hiyo ishaenda!
Watu wanahonga mpaka ukuu wa wilaya na wanachapiwa vile vile, wewe kuhonga simu tu unachanganyikiwa!, usikute baada ya kuhonga hiyo simu hujawahi mpatia kitu kingine tena, sasa huyo mwingine katafuta wa kumuwekea vocha kwenye hiyo simu, wanawake siku hizi kuchuna ni carrier kijana.
haina jina?
Kwani wakati unamnunulia mliandikishiana mkataba kwamba ukimkuta na mwanamme mwingine umnyang'anye?, na pia alikuomba umnunulie au ni uamuzi wako mwenyewe?. Hiyo ipotozee tu, cha mhimu hujamhonga uhai wako, hapo ndo ungekula hasara.