Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Ni wakati wa kutulizana sasa, wanaume tukiheshimu hisia zetu hakika kutakuwa na mabadiliko.
Ya kwako jee shem.. Unakubali switihati aishike..?
Kusema ukweli nilimpa simu mwenyewe lakini ndo hivyo ni sawa na kuhonga. Nilidhani atakuwa na mimi pekee yangu. Kinachoniumiza sijawahi kutoa zawadi au kuhonga kitu cha thamani ya zaidi ya sh 10,000. Maumivu yapo hapo. Hadi sasa nahisi hasira kali, nikimkamata kwanza nahisi kumchapa makonde nimnyanganye na simu hata kama hatuna mkataba wa maandishi. Matumizi na vocha namwekea tena vifurushi vya mwezi. Kama ni kumtia nampa dozi ya uhakika hadi na yeye anakubali, sijui pepo gani limeingia
mpe makonde akutie jela.....WEWE KAMA USHAAMUA KUMPOKONYA SIMU.. MVIZIE TU KIUPOLE AKIJAA UNAICHUKUA YANAISHA KWA AMANI... na sio unajinadi kupora simu ukishaichukua uje kulialia humu .. "OOOOH NIMEMUACHA ILA BADO NAMPENDA" "OOOOH NATAMANI KUMRUDIA ..."
Mimi nilimkuta wangu live akiliwa na bausa mmoja hivi kwa kula chabo kupitia dirishani geton kwake baada na mdada mmoja shoga yake.
Nilihonga
1. Simu(huawei) 250,000
2. Flatscree 450,000
3. Mtungi wa ges 70,000
4. Pas ya umeme 40,000
5. Extension cable 20,000 nk
Na bado nilisamehe, ila roho iliniuma sana takriban mwezi mzima sina raha
Aishike tu shem hata alale nayo mie walaaa hakuna shida
Ha ha ha ha.. Shem mie ninamshauri mwenzangu asifanye hivyo.. Akuachie simu yako na wala asiiguse lol..
Kusema ukweli nilimpa simu mwenyewe lakini ndo hivyo ni sawa na kuhonga. Nilidhani atakuwa na mimi pekee yangu. Kinachoniumiza sijawahi kutoa zawadi au kuhonga kitu cha thamani ya zaidi ya sh 10,000. Maumivu yapo hapo. Hadi sasa nahisi hasira kali, nikimkamata kwanza nahisi kumchapa makonde nimnyanganye na simu hata kama hatuna mkataba wa maandishi. Matumizi na vocha namwekea tena vifurushi vya mwezi. Kama ni kumtia nampa dozi ya uhakika hadi na yeye anakubali, sijui pepo gani limeingia
Mpaka namhonga mwanamke dat much money.,atakua ni mke au mtarajiwa wangu (simhongi bali nampa hiyo hela) mechi za ugenini/kirafiki hyo hela nyingi sanaaa either way utakuwa na mdomo mzito kijana.Jifunze kumpata mwanamke unayemtaka bila kuhonga, spending shud come under normal circumstances.