hahahaaaaaa.....umenifurahsha sana....so mwambie mwenzako asipaninick sana coz 650 ni ndogo tu we ushahonga zaidi yake
Hahahahah.. Mtauna nyie,, mwanaume pesa
Uko shahihi na pia kutoka nje si kumridhisha tu kuna mambo mengi. kama imekuuma na unataka kumwacha mwache na simu mwachie na kama unaendelea kumpenda endelea naye tuHata uhonge meli kama hujui kumridhisha utachapiwa tu!! Sasa patapicha jamaa linavyomkunja kama kambale vile!! hahahaaaaaaaa
Mwachie tu simu hiyo coz nawe si ulimaliza haja zako pale?? Pumziko ulilopata unaweza kulirudisha??
Sasa huyu ndugu kaLumia ka 650 povu debe na sie tunaonunua malexus na bado papuchi zinagongwa kwenye hayo hayo malexus tunayonunua tusemaje!!?
Siishi naye. Anaishi kwao. Jana aliniaga anakwenda UDOM kufuata cheti chake. Lakini toka asubuhi hapokei simu. Muda huu ametoka kunitumia text hii.....baby huamini kama nimesafiri? kwenye gari kelele nyingi ndo maana cpokei simu zako. But, kiuhalisia huu ni half time ya mgegedo. Duh, imeniuma siyo siri, mara ya kwanza kuchapiwa. Huwa naacha siyo kuachwa!
Aiseee nyie mnahitaji pole kabisaaa
Wee HoneyFaith sema ukweli hamgongwi ndonga kwenye hayo malexus tunayowanunulia!!?Usikatae kwa ushabiki hapa,tunawapa huduma zote na ndonga za nguvu mnafika kileleni mara kibao kila round lakini kama wakuchomoka utachomoka tu!
ulimhoga simu ili asikusaliti au?
Nimeshangaa eti vidude vya ku like viko kwenye comment zote ila hapa kwako. Hata kama computer ikinihujumu kukiri kulike ni lazima