miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
we bwana weee usimnyaganye mwache tu
ha ha ha hawezi yule asiposhika simu yangu ataugua
dogo kasimu ka 650,000 ndio unapiga makelele hapa, je wenzio tunaohonga magari....
Hahahahah halooooh huo ndo mgawanyo wa majukumu babu, una pesa ila co mtundu mwenzio kapuku lakn anaujua mchezo acha akusaidieSasa huyu ndugu kaLumia ka 650 povu debe na sie tunaonunua malexus na bado papuchi zinagongwa kwenye hayo hayo malexus tunayonunua tusemaje!!?
Hata uhonge meli kama hujui kumridhisha utachapiwa tu!! Sasa patapicha jamaa linavyomkunja kama kambale vile!! hahahaaa. Mwachie tu simu hiyo cause nawe si ulimaliza haja zako pale? Pumziko ulilopata unaweza kulirudisha?
tuongee tu inawezekana Honey Faith....Hebu nionge basi na mie gari???
tuongee tu inawezekana Honey Faith....
mkuu wewe umeruka stage from 10,000/= hadi 650,000? hapo gap ni kubwa sana, mimi nilianzaga na Tsh.1500/= nikawa napanda mpaka 8,000/= na hapo ni baada ya kujiridhisha na mahitaji ya muhusika kwa sasa siendi zaiadi ya 15,000= amabayo nimeipandisha kutokana na mfumuko wa maisha.. kwahiyo nakushauri uende uka mkpokonye simu yako huyo dada haraka sana ili ufuate steji husika mkuu. Ahsante
Monanja
Hapo umechemka kisawasawa. Mwanaume hawezi kuthibitisha kuwa anampa dozi kisawasawa. Je, kama anapenda TIGO wewe ukaenda voda hata mara 100 unadhani atakuwa ameridhika? Huu ni mfano tu. Nadhani anayemkongoli sasa ndiye anamkojozaKusema ukweli nilimpa simu mwenyewe lakini ndo hivyo ni sawa na kuhonga. Nilidhani atakuwa na mimi pekee yangu. Kinachoniumiza sijawahi kutoa zawadi au kuhonga kitu cha thamani ya zaidi ya sh 10,000. Maumivu yapo hapo. Hadi sasa nahisi hasira kali, nikimkamata kwanza nahisi kumchapa makonde nimnyanganye na simu hata kama hatuna mkataba wa maandishi. Matumizi na vocha namwekea tena vifurushi vya mwezi. Kama ni kumtia nampa dozi ya uhakika hadi na yeye anakubali, sijui pepo gani limeingia