Najuta kujifunza kuhonga msichana

Najuta kujifunza kuhonga msichana

Kuhonga + kitandani mkali = Kusalitiwa 10%

Kuhonga + Kitandani ----- = Kusalitiwa 90%

Kitandani mkali = Kuhonga na kuhogwa.
 
waulize wanahistoria wanaotake care mambo ya kale wanaweza kuwa na majibu ya tatizo lako. probably wanaweza kukueleza hivi kwamba wewe mwenyewe ni mwanamapinduzi, na uliza wadau wadau wote hapa jf hivi mapinduzi yana ukomo? likely hapana, mkuu nikutanabahishe tu kuwa mapinduzi ni endelevu na hayatokoma milele, ulipindua kwa laki zako sita na na nusu na hatimae na wewe umepinduliwa, hiyo kanuni ipo ......REVOLUTION VS COUNTER-REVOLUTION AND SO FORTH. usijiumize saana kutafakari hili, serikali za kimapinduzi zinaendeshwa kimapinduzi, na ukimess up kidogo majerali wengine pembeni wanakupindua. wewe ulipindua serikali halali ya mwanapinduzi mwengezi mwengine na counter-revolution has taken place. Why crying!!!!!!!!!!
 
halafu usishangae kuona anakufanya ----- na kujisifia kwa mwanapinduzi wake wa awalli
 
Kwa hiyo simu ya 650000 kwako wewe is nothing siyo? ulitaka ahonge ya sh ngapi ili iwe halali kulalamika akigongewa? Hivi kwa mtanzania wa kipato cha kati laki sita ni pesa kidogo? Halafu tunasema maisha magumu?

sasa kama una kipato cha kati unahonga ili iweje!!??, nenda kijijini kwenu uwaambie wazee wakutafutie mke uweke ndani uwe unampatia matumizi ya kipato chako cha kati yaani chakula, kanga na vitenge, hayo ya kuhonga waachie wenye uwezo nayo, yaani wewe unatoa elfu kumi au simu ya katochi eti na wewe unajidai kabisa umehonga!!??, kamuulize Liyumba maana ya kuhonga dadadeki au muulize Wema Sepetu nini maana ya kuhongwa!
 
Unaweza kuhonga hata ukuu wa majeshi achilia mbali ukuu wa wilaya, lakini kama injini yako inatembea dakika moja na kuanza kumwaga mafuta nje ujue utaachwa tu mkuu!

Mwanamke wa siku hizi anataka kuhemeshwa kitandani zaidi ya saa nzima bila kupewa half time.

Unaweza kuwa na pesa mingi sana lakini ukakimbiwa kiaina.

Hivi vipochi vya city centre vina shida sana.
 
Kuhonga + kitandani mkali = Kusalitiwa 10%

Kuhonga + Kitandani ----- = Kusalitiwa 90%

Kitandani mkali = Kuhonga na kuhogwa.

plus maneno mtekenye usisubiri akwambie ana ngenye..... ongeza na hili unaweza kuhonga na ukapotezewa tuu..
 
Wenzako wanahonga Wilaya na Nissan Murrano na wakiachana hawadai wewe kasimu ka laki 6 tu unaleta uzi humu!
 
Watu wanahonga mpaka ukuu wa wilaya na wanachapiwa vile vile, wewe kuhonga simu tu unachanganyikiwa!, usikute baada ya kuhonga hiyo simu hujawahi mpatia kitu kingine tena, sasa huyo mwingine katafuta wa kumuwekea vocha kwenye hiyo simu, wanawake siku hizi kuchuna ni carrier kijana.

Kula tano mkuu
 
Kanunua sim kampa demu walipoachana...... akampokonya. .....teh teh
 
samehe tu......ila ujifunze.....bora utoe sadaka na fungu la 10% kanisani ili Mungu akuongezee pale ulipopunguza.......na pia jitahidi kuwatumia wazee fedha......
 
Back
Top Bottom