Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,870
- 2,176
Mwarabu wa Namtumbo malaya wewe
Unapata faida gani kumtukana!
Mwarabu wa Namtumbo malaya wewe
Nyie si madogi tu?
Kaa kw kutulia mpakwa mafutaUsijitoe ufahamu gaidi jike
Balozi gani aondoke? Na sababu ni ipi?Samia dhaifu sana, alipaswa kumpa balozi 72hrs aondoke nchini
Kwani hata yesu mwenyewe si alikuwa ni muisraeli?Na kama wote tutafuata dini ya kweli kwa ukweli ya Yesu Mpende Jirani yako kama nafsi yako na umpende Mungu kwa moyo na nafsi yako yote.
Bro si kuna mtu humu anaitwa Twilumba kasema kabisa anamjua huyo dogo na hata mzazi wake Mwalimu Mollel anafahamu na hata Waziri wa Mambo ya nje January Makamba kathibitisha hilo? Mbona u ajitoa fahamu ndugu yangu?Still hamna ali confirm kama ni huyo mtu kweli. Sema wabongo tunapenda ushabiki wakijinga tu.
ndio maana nikasema endele kula ushibe ulale,palestina hawakimbii!!!!simu unaitumia kuangalia picha chafu tu??kwa taarifa yako wenye uwezo wanahaha leo kesho kuondoka,wanazuiwa na hao vibaka wa muhammad.Hujui kitu bado katika hii Dunia,kwa akili hii utatawaliwa kifikra mpaka siku yako ya kufa,Watu wanapigania ardhi yao kisha wewe unaleta porojo hapa? Wapalestina hawatoki Palestina kama wakimbizi ili kumuachia ardhi yao yahudi bali wataishi kwenye ardhi yao.
Unakatwa mwanangu.Na maanisha ipo namna alikuwa kizuizi kwao, sasa ni namna gani alikuwa kizuizi mimi sifahamu bado. Ila wao sio wajinga kiasi hicho.
Bila hata kufahamu maneno angalia tu body language ya hao jamaa. Hawajamkurupukia tu. Kwani Israeli mtu mweusi ni yeye pekeyake?, sasa kwanini yeye?
Sababu ni hii mada inayoendelea.Balozi gani aondoke? Na sababu ni ipi?
Jana sijalala kwa kweli. Imeniuma sana. Laiti kama angekuwa mdogo au kaka yangu, leo ningekuwa pale ubalozini naandamana peke yangu lakini pia ningelipa kisasi kwa mwarabu yoyote hapa Tanzania. Ile damu isingemwagika bila kisasi.Nimeona mwili wa huyo kijana, ni kama alijisalimisha, mikono iko juu, hiyo haikutosha wakamtia risasi kifuani, ee Mungu utuhurumie
Ndio maana nakwambia kua huna akili ya uelewa wa mambo,Misri na nchi zingine hawakutaka Wapalestina wawe wakimbizi na kumuachia yahudi nchi yao,lengo la hao Zionist ilikua wanataka wapalestina waikimbie nchi yao ili waitawale kama ilivyokua 1948 sasa wewe Mgalatia unayejiita Mkorinto huna akili ya uelewa wa hayo mambo,endelea kuuziwa maji ya upako na chumvi ili uje kua tajiri kimiujiza,ndio maana nikasema endele kula ushibe ulale,palestina hawakimbii!!!!simu unaitumia kuangalia picha chafu tu??kwa taarifa yako wenye uwezo wanahaha leo kesho kuondoka,wanazuiwa na hao vibaka wa muhammad.
Walipoomba kuingia misri,misri walikataa katu katu kufungua mipaka baada ga kugundua hao vibaka wataanza fujo kwao pia.
Ardhi inapiganiwa kwa kuua na kuteka mpaka wasio wakazi husika!!!!
Tumia akili kufikiri sio kukalia mkuu.wengine tunafatilia haya mambo kwa umakini mkubwa sana na hatuna upande si kwa sababu ya dini wala ushabiki mwingine.Ndio maana nakwambia kua huna akili ya uelewa wa mambo,Misri na nchi zingine hawakutaka Wapalestina wawe wakimbizi na kumuachia yahudi nchi yao
kama napata utajiri kwa kununua maji utatumia ramadhani ngapi kunishawishi kwamba Allah anaweza ikiwa hata kusaidia wale magaidi wanaomtukuza pale palestina imeshindikana!!!!,lengo la hao Zionist ilikua wanataka wapalestina waikimbie nchi yao ili waitawale kama ilivyokua 1948 sasa wewe Mgalatia unayejiita Mkorinto huna akili ya uelewa wa hayo mambo,endelea kuuziwa maji ya upako na chumvi ili uje kua tajiri kimiujiza,
Ndio hawa leo wanamfilimba Allah mbele ya waislam huku haonekani,Allah anavunjiwa nyumba yake na yuko amestarehe na kipenzi chake Muhammad hana habari😁😁😁Hao mabwana zako waliomuua Mungu wako,
Mimi leo hii naweza kukwambia mayahudi ni wauaji,ipi tafsiri ntaitumia kwa hammas walioua ndugu yangu bila hatia!!!!wao wameua watu wangapi wasiokua na hatia? Mpaka sasa wameua waandishi wa habari 97 wamepiga mpaka hospitali na refugee camp.
Sio palesina ni PALESTINA.chuki hazijawahi kua suluhu.r.i.p.Tufukuze na ubalozi wa palesina nchini kabisa, tusiongee tu, tufanye action on the ground kuonyesha how deeply saddened we are as a nation kwa ukatili huo, japo sijaona hiyo video, ila i feel you brother, pole sana.
Ila binafsi, i want nothing to do with the Israelite bastards either.., maana hayo ndio mashenzy hasa.., yamelaaniwa..! Ikiwezekana dunia nzima tuungane kuyaangamiza hayo mashoga yaliyonyimwa ardhi!
Unaona sasa jinsi ulivyo mpumbavu usiyekua na akili? Juu unasema huongei kwa ushabiki wa dini,kisha chini ukaharisha kwa kukashifu dini,huna akili wewe Kafiri.Tumia akili kufikiri sio kukalia mkuu.wengine tunafatilia haya mambo kwa umakini mkubwa sana na hatuna upande si kwa sababu ya dini wala ushabiki mwingine.
Kwahiyo hao wanajeshi wa Muhammad wanazuia raia dhaifu wasitoke kwanini???
kama napata utajiri kwa kununua maji utatumia ramadhani ngapi kunishawishi kwamba Allah anaweza ikiwa hata kusaidia wale magaidi wanaomtukuza pale palestina imeshindikana!!!!
Ndio hawa leo wanamfilimba Allah mbele ya waislam huku haonekani,Allah anavunjiwa nyumba yake na yuko amestarehe na kipenzi chake Muhammad hana habari😁😁😁
Mimi leo hii naweza kukwambia mayahudi ni wauaji,ipi tafsiri ntaitumia kwa hammas walioua ndugu yangu bila hatia!!!!