Najuta kufundisha lugha ya Kiingereza

Najuta kufundisha lugha ya Kiingereza

Ingependeza sana ungeleta huu uzi kwa lugha unayofundishia ...ili tujiridhishe na the the zako kama mkuu wa idara kwanza..
nae mweupe tu hamna kitu,kajaribu kudokoa hapo,haeleweki anajitetea device sijui nini....
 
Hongera,mimi nilishindwa na kuna mwingine aliajiriwa mwaka jana naona alikuwa anahimiza sasa kaamua kutulia na kufanya mambo yake
Mji wa Dar shule zote huwezi kufanikiwa
Shida ni uongozi wa shule.
Mkuu wa shule akiongoza in a teamwork, kunakuwako na mafanikio.
Shule ya sec ya Mtakuja iko Mbezi beach watoto wanaongea kiingereza utafikiri sio shule ya kata kisa mkuu yupo pamoja na walimu wake.
Nilijifunza mengi kwa uongozi wa Mtakuja Sec School.
 
Shida ni uongozi wa shule.
Mkuu wa shule akiongoza in a teamwork, kunakuwako na mafanikio.
Shule ya sec ya Mtakuja iko Mbezi beach watoto wanaongea kiingereza utafikiri sio shule ya kata kisa mkuu yupo pamoja na walimu wake.
Nilijifunza mengi kwa uongozi wa Mtakuja Sec School.
Mimi ni Graduate wa UDSM nimefanya field Dar,niliajiriwa hapa Dar naamini nguvu ya ziada itumike kubadili huu mfumo
 
Mimi ni Graduate wa UDSM nimefanya field Dar,niliajiriwa hapa Dar naamini nguvu ya ziada itumike kubadili huu mfumo
Nipo dar, product ya UDSM, field ya mwisho nilifanyia Benjamin Mkapa ss.
Tatizo baadhi ya wakuu wa shule hawajali maendeleo ya shule zao au hawana ujuzi wa kiuongozi.
Baadhi yao walibebwa na mfumo.
Kwa hiyo school management and administration inawasumbua
 
Nilikua kiranja wa taaluma O-level, pamoja na mambo mengine nilitakiwa kusimamia wanafunzi wote kuongea kiingereza, ilikua shida watu waligeuka mabubu. Nikilegeza mwalimu ananishushia rungu mimi nikakaza watoto wa watu wanatia huruma, Ni shida. Mungu Mkubwa leo natema yai si haba.
hongera ingawa tupowabidisha tunaonekana wanoko kweli
 
do you think, speaking English fluently is the issue of errors avoidance.? errors and mistakes ktk lugha yoyote kitu cha kawaida kabisa. Kuhusu hiyo "is" iliyo omitiwa,do you think is not into my lexicon wakati present umbo hili orthographically. kama umosoma lugha jikumbushe psycholinguistics. utajua tu. halafu tofautisha speaking skills and writing skills.
You too have similar problem sir. This is due to your statement..you seem like you have come here to reveal your ignorance on the language stated..if you are real fluent in this language why don't you use it here showing your ability?
 
Nilisisitiza sana kutumia hii lugha ya kufundishia mwaka 2012 wakati nimeajiriwa,mwisho nilikata tamaa,mwaka 2013 nikaamua kujichanganya mtaani kufanya biashara zangu Kariakoo,sasa kipindi changu tu ndio kinanipeleka kazini,huwezi kufanikiwa ni kujipa shida isiyokuwa na faida

anyway uamzi wako sahihi, kumbuka kukitumia usianze kuwa na kigugumizi hapo baadae.
 
do you think, speaking English fluently is the issue of errors avoidance.? errors and mistakes ktk lugha yoyote kitu cha kawaida kabisa. Kuhusu hiyo "is" iliyo omitiwa,do you think is not into my lexicon wakati present umbo hili orthographically. kama umosoma lugha jikumbushe psycholinguistics. utajua tu. halafu tofautisha speaking skills and writing skills.
So do you want to tell us that you can't write? You only speak... You can't be serious!
 
Ingependeza sana ungeleta huu uzi kwa lugha unayofundishia ...ili tujiridhishe na the the zako kama mkuu wa idara kwanza..

Naunga mkono hoja...mwalimu wa kiingereza tena mkuu wa idara anayeshindwa kuandika walau mstari mmoja wa sentensi iliyotimilifu kwa lugha anayodai kufundishia ni jipu....
 
Hata wewe unachanganya lugha mbona... ni shida kwa wote... poleni sana...
 
Naunga mkono hoja...mwalimu wa kiingereza tena mkuu wa idara anayeshindwa kuandika walau mstari mmoja wa sentensi iliyotimilifu kwa lugha anayodai kufundishia ni jipu....
ha ha ha unataka sentensi ; you have donkey thinking. umelizika? .jamani mnisamehe naanza kuhisi kuchefukwa.
 
Mwalimu, kikoloni ni kigumu sana Chief, tuvumiliane tu. Wazo lako ni zuri though...watu wafundishwe kwa Kibantu tu na English lifundishwe kama somo linalojitegemea.
ha ha ha kisa kusahaulika kwa hiyo linking verb, is". basi twende kwenye kiswahili
 
Back
Top Bottom