Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Aah machozi yananilenga lenga yaani hamna huruma kiasi hicho? Yaani tunabeba zege mpaka ghorofa ya 9 afu malipo kiduchu bado tukija kwenu kutaka faraja ya dk 10 na nusu bado mnaona haitoshi mkuu eti lituchome lituchome
Mwanaume lazma mutoke majasho kwa sana ndo nature ilivo. Sie tuzae kwa uchungu. Hamna cha huruma wala nini. Toeni hzo hela.