chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 580
- 245
Ushauri wangu........Elimu ni Taa ya kuondoa Ujinga na Giza, na Elimu si ya kujitajirisha kimapeni bali kufungua Ubongo....Naomba watu waelewe sana.
Zamani tukiambiwa, tusome kwa biddi tupate kazi nzuri, ndio lakini lengo kubwa ni kuwa mwerevu ki dunia!!!!
Zamani tukiambiwa, tusome kwa biddi tupate kazi nzuri, ndio lakini lengo kubwa ni kuwa mwerevu ki dunia!!!!