Naona kama natengwa humu JF au wasiwasi wangu tu sijui au ndio inaanza kupooza kama forum nyingine za zamani maana nikiandika topiki haichangamkiwi au tatizo liko kwangu mimi funzadume au jina langu baya?
Si kweli Funzadume,uko wapi sasa???umeandika thread ukala tena kona jamani?lane:lane:
Hii kitu ya Rolya ukivuta lazima ukate mapanga watu ni kama unapandikiza kichaa kwenye ubongochek unaandika post znahusu nini
km zikisaund utoto/kudhalilisha watu au znazoboa lazima watu wapite juu shaaaaaaaaaaaa bila kuchangia...
vip iyo kitu mkonon ya wap?
namanga?au TUNDURU...ahh vya tarime vmepooza skuiz ..me naagiza mzigo toka VENEZUELAAAA kitu tyt kitu kinatoa high ya ajabu,...poa bas badaye....
hii kitu we acha tu nimeanza nayo seko, nikaingia chuo, nikaajiriwa na mpaka sasa nataka kukacha kuajiriwa nijiajiri niko tu na kijiti ndio mwongozo wa maisha yangu nimevuta zaidi ya miaka 25tatizo avatar yako hiyo,
mzee unakula sana hiyo kitu,
wengine haramu humu jukwaani!
Msokoto huwa unaleta hallucination, au kwa lugha nyingine, angst (German word for fear or anxiety). Hebu jaribu kupunguza uone kama itasaidiaa. Nakushauri vuta mara mbili tu kwa siku!!!nipo ila nadhani najistukia mwenyewe nimeshaanza kuzeeka siendani na kasi ya jukwaa
hapo kwenye red ongeza kidogo ifike hata mara 5 nitakuwa nime-under-dose sanaMsokoto huwa unaleta hallucination, au kwa lugha nyingine, angst (German word for fear or anxiety). Hebu jaribu kupunguza uone kama itasaidiaa. Nakushauri vuta mara mbili tu kwa siku!!!
hapo kwenye red ongeza kidogo ifike hata mara 5 nitakuwa nime-under-dose sana
Duh iyo nouma...!hapo kwenye red ongeza kidogo ifike hata mara 5 nitakuwa nime-under-dose sana