Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama natengwa humu JF au wasiwasi wangu tu sijui au ndio inaanza kupooza kama forum nyingine za zamani maana nikiandika topiki haichangamkiwi au tatizo liko kwangu mimi funzadume au jina langu baya?
nimekusoma mkuu maana siku hizi napitia majukwaa karibu yoteSijui tatizo ni nini lakini pia inategemea hizo posts zako unaziweka katika jukwaa lipi. Ukiziweka katika hili jukwaa la MMU basi zitachangamkiwa kama mpira wa kona. Miaka ya nyuma jukwaa la siasa ndilo lilikuwa maarufu kuliko jukwaa lolote lile hapa jamvini lakini siku za karibuni MMU imechukua numero uno na hivyo kuliacha mbali jukwaa la siasa.
Nilishaachaga kipindi sasa. Enzi zangu nilikuwa nazichoma kama kichaa!Rungu inaonekana na wewe mzee wa kunyonga ndumu
nimekusoma mkuu maana siku hizi napitia majukwaa karibu yote
chek unaandika post znahusu nini
km zikisaund utoto/kudhalilisha watu au znazoboa lazima watu wapite juu shaaaaaaaaaaaa bila kuchangia...
vip iyo kitu mkonon ya wap?
namanga?au TUNDURU...ahh vya tarime vmepooza skuiz ..me naagiza mzigo toka VENEZUELAAAA kitu tyt kitu kinatoa high ya ajabu,...poa bas badaye....
Naona kama natengwa humu JF au wasiwasi wangu tu sijui au ndio inaanza kupooza kama forum nyingine za zamani maana nikiandika topiki haichangamkiwi au tatizo liko kwangu mimi funzadume au jina langu baya?
hapo kwenye red ongeza kidogo ifike hata mara 5 nitakuwa nime-under-dose sana
wanaoponda madada hawajui walitendalo nadhani ni hawa vijana wa sejkondari waliovamia jukwaaanzisha thread yenye kichwa cha habari cha kuvutia au thread ya mapenzi ila isiwe ya kuwapondea madada kama thread za fulani jina kapuni.
natangaza rasmi nikiambiwa kuchinja kobe na mwana JF wa kwanza kukufikiria ni wewe HusninyoHa ha ha ha ha! Funza umenichekesha jamani.
Ngoja nianze kuhamasisha watu wachangie.
Jitahidi uwe unaandika tittles nzuri halafu na wewe usimamie sredi yako.
Pole jamani, nahisi ni kiasi gani inavyokuumiza.
itabidi siku moja nikutafute ujikumbushe mie uwa navutia mitaa ya ufukwe wa karibu na Agha Khan nikiwa nimetoka job jioni napaki mitaa ile nalipuliza narudi zangu homeNilishaachaga kipindi sasa. Enzi zangu nilikuwa nazichoma kama kichaa!
Hii kitu ya Rolya ukivuta lazima ukate mapanga watu ni kama unapandikiza kichaa kwenye ubongo
hiyo ya Venezuela sidhani kama ni kali, jaribu kutafuta kitu cha Afghanstan mwana lazima uone nyota
natangaza rasmi nikiambiwa kuchinja kobe na mwana JF wa kwanza kukufikiria ni wewe Husninyo
kubemenda mtoto mchanga
kama ulikuwepo Dena, watu wa kure ni noma unaambiwa vitu unavyotakiwa kupeleka kama mahari ni panga la baba, jambia la mjomba, mkuki wa babu, gobore la baba mdogo, na mbegu za Avatar ya FDHa ha ha halafu ukipeleka mahari unataka kuoa lazima upeleke na mbegu za hiyo kitu hapo kwenye avatar yako