Naona kama natengwa humu JF au wasiwasi wangu tu sijui au ndio inaanza kupooza kama forum nyingine za zamani maana nikiandika topiki haichangamkiwi au tatizo liko kwangu mimi funzadume au jina langu baya?
kama ulikuwepo Dena, watu wa kure ni noma unaambiwa vitu unavyotakiwa kupeleka kama mahari ni panga la baba, jambia la mjomba, mkuki wa babu, gobore la baba mdogo, na mbegu za Avatar ya FD
duh kule mahari lazima iwe na mapanga au gobore kwa ajili ya kwenda kutekea ng'ombe vijiji vya jiraniTata mie waliambiwa waniiletee mbegu na mapanga wakashituka
kweli lakini sababu washapenda walileta kazi ilikuwa kwenye
mbegu ilibidi shemeji awatafutie walikuwa hawaijui Ha ha ha ha
mambo mengi unajua uzee nao tabu tupu nimeandika topiki halafu nikaisahau nadhani tatizo liko kwangu zaidi
wewe kweli mvutaji mwenzangu maana umenena feelings za ndani za ndumu kukumbuka na kusahau ghafla halafu ukijistukia unajicheka mwenyewe ndio maana wavuta ndumu wengi uwa tunacheka peke yetuNdo tatizo la ndumu
unajistukia stukia afu bingwa wa kuelewa na fasta memory ina-delete
Punguza kidogo mkubwa!!
duh kule mahari lazima iwe na mapanga au gobore kwa ajili ya kwenda kutekea ng'ombe vijiji vya jirani
au sime ya shangazi
kumbe na wewe ni wa kure kure
mmmh hii hata kwenye google translator haiwezi kuingia mpk Bill Gates afe
itabidi siku moja nikutafute ujikumbushe mie uwa navutia mitaa ya ufukwe wa karibu na Agha Khan nikiwa nimetoka job jioni napaki mitaa ile nalipuliza narudi zangu home
na uwa tuko wengi tu pale watu kutoka wizara mbalimbali mashirika ya UMMA na NGO mpk wengine wanapiga boksi Magogoni