Najitolea kuwa Mentor

chai ya rangi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
1,037
Reaction score
3,080
kama unataka kuwa na personal development, au unatafuta mtu wa kukuelekeza kwenye mambo mbalimbali kupitia falsafa. basi mimi ninajitolea kua mentor

nitawaongoza watu wawili kwa mwaka mzima

mentor wangu Mr Rohn alisema don't wish for less challenges, wish for more skills.
don't wish for less problems, wish for more wisdom
 
Sawa, uje unambie n biashara gn Naweza kuwekeza bila kuwa na mtaji wowote na faida iwe ya chap kwa haraka
 
Natamani nibadili tabia yangu. Utaratibu ukoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…