griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 442
HahahahaMzee wa kukurupuka, yaani hata huwezi kusoma uzi kwa undani na kutafakari hadi unamtukana kamanda mwenzio. rudia tena kuusoma huo uzi kwa makini halafu umuombe radhi "kamanda mwenzio"