Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Nchi bado inavilaza wengi aisee
Cha kwanza jifunze kwanza ndio ujiunge kwenye kambi yetu ya wakosowaji juu ya udhalimu na dhulma tunazotendewa na ccm.Najitoa Rasmi kwenye kuikosoa CHADEMA hadharani badala yake nitatumia mifumo ya chama kufikisha ujumbe wangu. Sitaki kuwa kama Rafiki yangu Benson Mramba wa Tanga ambaye ameamua kutumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kukosoa chama.
Lakini kuanzia leo najiunga Rasmi kwenye kundi la wakosoaji na wapingaji wa sera za CCM na matendo ya chama hicho ambacho ndiyo sababu na chanzo cha kuifanya nchi yetu iwe hivi ilivyo.
Mkuu, hawa ndio ambao waliingia chuo kikuu cha Dodoma kwa bahati mbaya, halafu walipoanza kuchujwa wakadai wanaonewa.Mzee wa kukurupuka, yaani hata huwezi kusoma uzi kwa undani na kutafakari hadi unamtukana kamanda mwenzio. rudia tena kuusoma huo uzi kwa makini halafu umuombe radhi "kamanda mwenzio"
and don't come backNajitoa Rasmi kwenye kuikosoa CHADEMA hadharani badala yake nitatumia mifumo ya chama kufikisha ujumbe wangu. Sitaki kuwa kama Rafiki yangu Benson Mramba wa Tanga ambaye ameamua kutumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kukosoa chama.
Lakini kuanzia leo najiunga Rasmi kwenye kundi la wakosoaji na wapingaji wa sera za CCM na matendo ya chama hicho ambacho ndiyo sababu na chanzo cha kuifanya nchi yetu iwe hivi ilivyo.
Haitawezekana!!mkuu heading ilinitisha nkafikiri umesalimu amri kwa mafisadi....
Najitoa Rasmi kwenye kuikosoa CHADEMA hadharani badala yake nitatumia mifumo ya chama kufikisha ujumbe wangu. Sitaki kuwa kama Rafiki yangu Benson Mramba wa Tanga ambaye ameamua kutumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kukosoa chama.
Hoja ya kweli na ya mashiko kabisaUamuzi mzuri sana,hivi vyama vya siasa vinaminya uwezo wa mtu kufikiri.
Kuwa huru,tetea maslahi ya taifa lako. Siasa za vyama ni za kizamani.
Alafu hao ndio vijana wa mzee mitandaoni - huyo ni moja ya watu muhimu wa kupangua hoja zinazoelekezwa kwake!!Hivi huoni aibu kucoment bila kusoma kilichoandikwa?
Ulikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Asante sana mkuu kwa kumpatia maneno atakayo enda nayo huko kwa walamba miguuUlikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Mbona kaeleweka sana?ila kwa mazuzu wa bibititi watakenua mimenoHeading ya uzi, jamani nimekuja mbio hadi nimesahau kuvaa japo kandambili. hahhahah. huu uzi watu wasipousoma kwa makini watadhani ndivyo sivyo! hahahahahahahah. Sawa mleta uzi. mie nikuelewa kuliko inavyotakiwa kukuelewa
Ulikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Huyu kapaniki hajakuelewaUlikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Acha wenge soma uzi tenaAsante sana mkuu kwa kumpatia maneno atakayo enda nayo huko kwa walamba miguu