Mkuu, ndiyo maana ni kazi sana kujadiliana na baadhi ya viumbe hapa JF, yeye anaangalia neno moja tu na kuanza kujibu.mkuu soma post yenyewe kwanza!
Tumekusoma team fisadi nyangumi!Bado asubuhi natoka usingizini leo niko free
Swissme
Haha....!hahaaa! Yaani wewe unajibu uzi kwa kusoma heading tu. Sijiu utamuomba msamaha mwanzisha uzi? Tuliza akili kwenye kujibu hoja.Ulikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Hii inadhihirisha team yenu mitandao na strategist wenu zinatakiwa kuchujwa hasa.Msome vizuri .
Kinachotuunganisha ni mitizamo na misimamo yetu dhidi ya wagandamizaji. Hatuna timu sisi!!Hii inadhihirisha team yenu mitandao na strategist wenu zinatakiwa kuchujwa hasa.
Una maana gani ? Chadema hakuna BUKU 7 FC , Japo tunatambua kwamba kwamba ccm inagharamia vijana wake mitandaoni , ninazo taarifa kwamba wewe binafsi sherehe yako ya kuzaliwa uliyoifanya hivi karibuni iligharamiwa na CCM .Hii inadhihirisha team yenu mitandao na strategist wenu zinatakiwa kuchujwa hasa.
wengi huwa wanakimbilia kureply kabla ya kusoma ujumbeMzee wa kukurupuka, yaani hata huwezi kusoma uzi kwa undani na kutafakari hadi unamtukana kamanda mwenzio. rudia tena kuusoma huo uzi kwa makini halafu umuombe radhi "kamanda mwenzio"
Muulize mwanzisha uzi, amenielewa.Una maana gani ?
Kwa nini havifanani?Heading na maelezo mbona havifanani