Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Nawaunga mkono wanaovishangaa vichwa vya tereniSiku nyingine uwe unasoma kabla ya kujibu
Nawaunga mkono wanaovishangaa vichwa vya tereniSiku nyingine uwe unasoma kabla ya kujibu
Maguguli ni CCM inayoongozwa wapya ndani ya chama wasio na MAKANDO KANDO MENGI....Maguguli huyo ndiyo nani tena?
Duuh,kiongozi salute kwakoNimesoma vizuri sana naiunga mkono sirikali yetu kwa hiyo system
Wasiyo jua nini wamenunua jana na kujifanya wameokota?Maguguli ni CCM inayoongozwa wapya ndani ya chama wasio na MAKANDO KANDO MENGI....
Aminia maana siku hizi tunaokota mpaka tereni bandariniDuuh,kiongozi salute kwako
Soma vizuriUlikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Ulikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Ha ha haaa! Aisee kumbe ni kweli ninyi mnatunga uongo. Duh ! Kumbe rais mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa sahihi kusema kuna viwanda vya uongo nchini. Yaani kama kweli kambi yenu inahitaji ku-retain idadi ya wawakilishi come 2020; Nilazima wapanga mikakati kwenye maskani zenu mchujane. Yaani mnajenga hoja kwenye uongo tena usio na mashiko!? Ili nikosa kubwa sana kwenye mikakati ya kupata kuungwa mkono hasa mnapofanya makosa kama haya kwenye sehemu ambapo watu makini wanapita.Una maana gani ? Chadema hakuna BUKU 7 FC , Japo tunatambua kwamba kwamba ccm inagharamia vijana wake mitandaoni , ninazo taarifa kwamba wewe binafsi sherehe yako ya kuzaliwa uliyoifanya hivi karibuni iligharamiwa na CCM .
Ulikuwa mzigo tu una hata hoja kwenda zako tena ulikuwa pandikizi la mtandaoni pyuuuu tema mate
Swissme
Mkuu wala sio ujinga, binadamu tumeumbwa kuwa na mawazo tofauti, la msingi kila mmoja aamue kipi kinaendana nae. Hivyo kutakuwa na upande A, wapinzani wao upande B, na wale ambao wako neutral upande C. Bahati mbaya kusoma michango ya A na B unatakiwa uwe muangalifu kwani wengi wao wanaongeza chumvi au sukari. Kwenye A na B ndiyo kunakuwa na michango kadha ya ajabu sana-mtu haangalii kilichosemwa ni kipi bali nani amesema.Huu ni ulimbukeni kama ulimbukeni mwingine tu, hukuwa na haja ya kuutangazia umma maana wakati ulipoamua kuwa na msimamo wa awali hukutueleza hapa!
Pili ni ujinga wa haja kuwa upande wa kukosoa upande fulani kisa tu umeamua kuwa mkosoaji, kwani ukiamua kuwa mzalendo ukawa unakosoa pande zozote ambazo unaona haziendi sawa unapungukiwa nini?
Kupatikana kufanyajeBabeli mimi najulikana na kama kuishi kwa kutegemea mitandao basi ningeshakufa kitambo. Hivi kati ya Babeli na Allen Kilewella nani akitafutwa atapatikana kirahisi. Mimi ni machinga na ukija hapa Iringa wala hupati shida kunipata. Wewe babeli unapatikanaje?
Hahaha mtani watu wanafurahisha kwelihahahahah mtani wangu Joseverest njoo huku hahahahahah