Najitoa... CHADEMA Najiunga... CCM

Najitoa... CHADEMA Najiunga... CCM

Mkuu, hawa ndio ambao waliingia chuo kikuu cha Dodoma kwa bahati mbaya, halafu walipoanza kuchujwa wakadai wanaonewa.

Ni kizazi cha madogo wa Tanzania ya leo hii, ambao ukikutana nao barabarani wamevaa ear phones, wanasikiliza muziki mpaka wanakoswakoswa kugongwa na magari.
Kina jesiika
 
Najitoa Rasmi kwenye kuikosoa CHADEMA hadharani badala yake nitatumia mifumo ya chama kufikisha ujumbe wangu. Sitaki kuwa kama Rafiki yangu Benson Mramba wa Tanga ambaye ameamua kutumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kukosoa chama.

Lakini kuanzia leo najiunga Rasmi kwenye kundi la wakosoaji na wapingaji wa sera za CCM na matendo ya chama hicho ambacho ndiyo sababu na chanzo cha kuifanya nchi yetu iwe hivi ilivyo.
Karibu mkuu.Sasa concerns zote JPM anazishuhulikia, unakaa upinzani kufanya nini.Sasa hivi dili ni CCM,vinginevyo utaonekana mwehu tu ukizidi kukaa upinzani.

Umesoma alama za nyakati mkuu,hongera sana.Hata Lema kagwaya.Naona kaishiwa pumzi,hana pa kushika.
 
Karibu mkuu.Sasa concerns zote JPM anazishuhulikia, unakaa upinzani kufanya nini.Sasa hivi dili ni CCM,vinginevyo utaonekana mwehu tu ukizidi kukaa upinzani.

Umesoma alama za nyakati mkuu,hongera sana.Hata Lema kagwaya.Naona kaishiwa pumzi,hana pa kushika.

Mazezeta wa Lumumba mnajua sana kukurupuka, wavivu wa kusoma, mkiona vichwa vya habari mnaingia wazima wazima.
 
Unatafuta kiki kwangu.


Swissme
Ninawezaje kutafuta kiki kwa mtu asiyetumia hata 2% ya ubongo wake kufikiria?
Yaani wewe kila kitu ni kukurupuka tu na ndo maana wengi tunakushangaa ulivyokurupuka hapo.
Jitahd uwe unafikiria hata kidogo duu!!!
Hata hivyo sidhani kama wewe una ubongo uliosawa maana unadhid kujidhihirisha tu kila cku humu!!!
 
Ninawezaje kutafuta kiki kwa mtu asiyetumia hata 2% ya ubongo wake kufikiria?
Yaani wewe kila kitu ni kukurupuka tu na ndo maana wengi tunakushangaa ulivyokurupuka hapo.
Jitahd uwe unafikiria hata kidogo duu!!!
Hata hivyo sidhani kama wewe una ubongo uliosawa maana unadhid kujidhihirisha tu kila cku humu!!!
Sibishane na zwagalaaa.


Swissme
 
Mazezeta wa Lumumba mnajua sana kukurupuka, wavivu wa kusoma, mkiona vichwa vya habari mnaingia wazima wazima.
Mkuu, hukuona jamaa zako wa Ufipa FC walivyokurupuka? Au umeamua kuwa na makengeza?
 
Mazezeta wa Lumumba mnajua sana kukurupuka, wavivu wa kusoma, mkiona vichwa vya habari mnaingia wazima wazima.
Dah,sawa mkuu Mwenyekiti wenu si Ex-Form IV,hayo ndiyo aliyowaridhisha.Muembe hauwezi kuzaa Chungwa!
 
Back
Top Bottom