Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Nikiwa naanza kufungasha ,sasa najitayarisha kuelekea Chama kinachoelekea kuwa kipya katika kambi ya Upinzani hapo mwakani punde tu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.
Nia ni kuhamia CCM na kuhamasisha upinzani ,upinzani dhidi ya vyaChama Tawala kitakachotokana na UKAWA .Sababu kuu hupenda sana kuwepo upande wa upinzani na si vinginevyo.
Nitapambana na serikali hiyo hata kama inaongoza nchi sawasawa ,mpaka waelewe kuwa uongozi si lelemama na ni zamu yao kubeba lawama hata za kutunga au za uongo.
Wapenda maendeleo wote wa nchi hii msilemae na UKAWA njia ni moja tu ,tujiunge na CCM pindi tu kitapojiunga na upinzani hapo 2016.
Nia ni kuhamia CCM na kuhamasisha upinzani ,upinzani dhidi ya vyaChama Tawala kitakachotokana na UKAWA .Sababu kuu hupenda sana kuwepo upande wa upinzani na si vinginevyo.
Nitapambana na serikali hiyo hata kama inaongoza nchi sawasawa ,mpaka waelewe kuwa uongozi si lelemama na ni zamu yao kubeba lawama hata za kutunga au za uongo.
Wapenda maendeleo wote wa nchi hii msilemae na UKAWA njia ni moja tu ,tujiunge na CCM pindi tu kitapojiunga na upinzani hapo 2016.