Ukimpenda mtu kiukweli huwezi kumsahau,kila mwanamke na damu yake natamu yake,wengine hawasahaulikiUnajiendekeza tu,,mkuu hao wana sahaulika mbona,,just enjoy your time ,wapo wazuri wengi tafuta tu pesa
Ndomaana nikiimba jamaan pombe sio tiba ..ooohooo weee padreee .Muda tuu ndio kila kitu.
Nani aliekwambia kulewa ndo dawa ya kumsahau?Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
kuna wanawake wana vitu vya pekee mzee.Unajiendekeza tu,,mkuu hao wana sahaulika mbona,,just enjoy your time ,wapo wazuri wengi tafuta tu pesa
Kweli mkuu hata mi naelewa,but sio wa kuwawaza muda wote,kuna vingi vya kufanyakuna wanawake wana vitu vya pekee mzee.
Mimi uwa simsahau sheila.na Leah hawa wanawake.walikuwa na upendo Wa ajabu.nitazunguka kote lakini kuna muda uwa nawakumbuka.