sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,045
Tangu mwaka huu uanze sikumbuki siku ambayo nilikuwa offline, Nina biashara zangu na kazi sio kwamba nipo idle.
Yani uwe na smartphone halafu ukose data waweza kuhisi unakosa mahitaji ya msingi, ukifika hii stage jijue ushaanza kuwa mraibu.
Matumizi ya data napenda kuingia Youtube kufatilia habari za Millard Ayo na channels nyingine zinazojielewa, Napenda kuiingia whatsapp kuangalia status, Twitter kufatilia habari za kimataifa, kuperuzi jamiiforums, usiku napenda kucheki tamthilia ama documentary, n.k.
TIKTOK niliitoa, ukitaka kujua maana ya kupoteza muda bila faida tumia hii app.
Wangapi mmeweza kupiga kavu siku nzima bila net
Yani uwe na smartphone halafu ukose data waweza kuhisi unakosa mahitaji ya msingi, ukifika hii stage jijue ushaanza kuwa mraibu.
Matumizi ya data napenda kuingia Youtube kufatilia habari za Millard Ayo na channels nyingine zinazojielewa, Napenda kuiingia whatsapp kuangalia status, Twitter kufatilia habari za kimataifa, kuperuzi jamiiforums, usiku napenda kucheki tamthilia ama documentary, n.k.
TIKTOK niliitoa, ukitaka kujua maana ya kupoteza muda bila faida tumia hii app.
Wangapi mmeweza kupiga kavu siku nzima bila net