Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,904
- 19,309
Mbona sioni hiyo roho mbaya mkuu maana hizo ni reactions za kawaida tu kwa binadamu. Mtu akikutendea ubaya na usimlipe kwa ubaya Ila ukaamua kumfungia vioo na kuendelea na maisha yako
Roho mbaya ni kama ungeamua kuwadhuru kiasi watu tushtuke au umtendee mtu ubaya ambaye hajakufanyia lolote.. Ia kwa ulivyo, Upo kawaida tu
Roho mbaya ni kama ungeamua kuwadhuru kiasi watu tushtuke au umtendee mtu ubaya ambaye hajakufanyia lolote.. Ia kwa ulivyo, Upo kawaida tu