Sawa nitarekebisha niandike mgane..tunda hajapata..
Niseme tu ili iweje ndugu yangu!yametoka moyoni..sipendi kusema vitu ambavyo sina uhakika navyo!
Naijua sura yake kumblock sio tatizo ila tatizo moyo wangu umeanguka kwake!
Hayo yanatoka moyoni dadangu? ua blah blah za mahaba,,, then uwazingue,,,, jifikirie wewe kama wewe kwanza, then think wat u want......pole sana but be smart...
Dada ulimtumia picha zako ukiwa haujapaka poda so akashtuka uwiiiiii!
Siku nyingine ukinipata mm nikiomba picha yako paka wanja wa nguvu na make ups za kutosha then ndiyo nitumie hizo picha;Haya mambo yako ya natural beauty yamekukosesha dushulele dada!
Kama kapata mwengine its fine dada lkn i didnt know some people are such cowards,leaving me here wondering around!instead of just sayin he cant be with me!Matapeli wako wengi mitandaoni.ikikna hivyo ujue ameshatongozwa mwengine mtandaoni.hilo liwe funzo kwako usimuamini mtu kivile kwenye mtandao.kwake yeye hakukuchukulia serious, zaidi ya kukupa maneno ya sweet words basi na kujua utaingia laini.mshuouru mingi kwa kukuepusha.engine bla bla zake ni uongo mtupu.The
Kha makubwa haya!
Pole my dear..! Hii Jf kuna baadhi ya watu wapo kwa ajili ya kucheza na akili ya wenzao..!
Achana nae huyo... Hana cha ujane wala nini... Tapeli tuu huyoo..!
sister mwanadamu alipewa maamuz yatokanayo na utash wa akili yake fahamu hayo n maamuz yake na hata siku moja hucjtwike mzgo wa kujiona mkosaj na mdhaifu kwa kosa uclolifanya hujamkosea lakn n maamuz yake na ukumbuke bnadamu twaweza amua kutokana na msukumo wa muda sa huwez jua alikuwa na msukumo gani kwa muda huo mpaka akakupenda,na siku zote ukimpenda m2 kutokana na msukumo wa wakati hakika thaman yake huisha wakati huo unapopita.amin busara na u2 n vaz lisilonunuliwa lakn wachache ndo wanalo.usiusurubu moyo wako .msahauNimetokea kumpenda sanaaaa kaka mmoja hapa jamiiforums!
Kusema kweli tulikuwa marafiki mwanzo ila yeye akasema ametokea kuvutiwa na maongezi yetu na ananipenda and blah blah blah..nikawa nasita sana kwasababu najua niko mbali nae na mambo ya long distance ni matatizo (kama walivyosema wahenga fimbo ya mbali haiuwi nyoka) lakini kwasababu alisisitiza sana anahitaji kuwa na mm nikaona kwanini nisijaribu kumpa nafasi japo nilishaumziwa sana mwanzo..
Huyo mtu kwa maelezo yake ni mgane na ana watoto wawili...Mwanzoni kila kitu kilikuwa shwari maongezi saa zote..tukaplan mpaka kuonana..kusema kweli nilikuwa na matumaini sana na furaha nimeshapata mwenza...
Ikatokea ishu kwamba alikuwa na matatizo ya network ya sim kitu ambacho kinaeleweka mawasiliano yakaanza kuyumba ila net alikuwa nayo lakini hakuona kama njia ya mawasiliano...Sasa kinachoendelea ni kwamba tangia tarehe 4 mwezi huu kapotea...namuona watsapp na naona anapata ujumbe wangu lakini hanijibu..na pia nilimuona facebook minamo tar 6...lakini mimi mawasiliano nae sina kwasababu hapokei simu zangu,hajibu sms zangu na sijui pakumpata..na ameniblock watsapp leo hii coz nimeshafanya uchunguzi na nimegundua kwamba ameniblock! Nakaa nikijiuliza nimemkosea nini kustahiki kutendewa hivi sielewi!kama hawezi kuwa na mimi kwanini haniambii kwamba hanitaki?kama hana mawasiliano mbona namuona online?
Sikujua kama watu wengine wamenyimwa ustaarabu kiasi hiki! Sio siri nimempenda na kumuamini sana huyu mkaka lakini naona kaniachia donda kubwa sana moyoni mwangu maana hata sielewi nimuweke fungu gani najiona -------- nilopindukia kujirahisisha na kumuamini mtu nisomjua! Au sijui ni mimi ndio na overreact na kumfatilia sana?
Nisaidieni jamani nahisi kuchanganyikiwa si ndo wendawazim huu mungu wangu!
Pls naomba nichukue nafasi ya huyo jamaa aliyepoteza hiyo bahati;sitafunga mawasiliano na ww!Kwa sasa ndiyo nimewasili kijijini Msimbati baada ya kupata ajira hizi mpya za serikali za ualimu!Siku umefika Mtwara tafadhali nitembelee Msimbati Primary School,uliza Mwl Malafyale;mwl kijana kuliko wote hapa!!
Ni PM tafadhali nianzishe song la kiutu uzima,nina miaka miaka 24!
Kha makubwa haya!
Watu wamshauri anitose?he is a grown up man he is suppossed to be able to make his own decisions!Kingine acha kujidanganya wakati unaona, huyo bwn hana mpango na wewe achana nae jifute kwake kama alivyokufuta wewe kwa stail hizi amepata watu wakamshauri akutose so be strong, mahusiano ya mitandaoni ni artificial achana nayo
Lol its called Physical appearance!nenda kajifunze kuandika kwanza!ilo nalo neno,kama ulim2mia physical apialens bas hajardhka na wewe,lakn usijute ukajikuta we mtu duni
Sawa nitarekebisha niandike mgane..tunda hajapata..
Nimetokea kumpenda sanaaaa kaka mmoja hapa jamiiforums!
Kusema kweli tulikuwa marafiki mwanzo ila yeye akasema ametokea kuvutiwa na maongezi yetu na ananipenda and blah blah blah..nikawa nasita sana kwasababu najua niko mbali nae na mambo ya long distance ni matatizo (kama walivyosema wahenga fimbo ya mbali haiuwi nyoka) lakini kwasababu alisisitiza sana anahitaji kuwa na mm nikaona kwanini nisijaribu kumpa nafasi japo nilishaumziwa sana mwanzo..
Huyo mtu kwa maelezo yake ni mgane na ana watoto wawili...Mwanzoni kila kitu kilikuwa shwari maongezi saa zote..tukaplan mpaka kuonana..kusema kweli nilikuwa na matumaini sana na furaha nimeshapata mwenza...
Ikatokea ishu kwamba alikuwa na matatizo ya network ya sim kitu ambacho kinaeleweka mawasiliano yakaanza kuyumba ila net alikuwa nayo lakini hakuona kama njia ya mawasiliano...Sasa kinachoendelea ni kwamba tangia tarehe 4 mwezi huu kapotea...namuona watsapp na naona anapata ujumbe wangu lakini hanijibu..na pia nilimuona facebook minamo tar 6...lakini mimi mawasiliano nae sina kwasababu hapokei simu zangu,hajibu sms zangu na sijui pakumpata..na ameniblock watsapp leo hii coz nimeshafanya uchunguzi na nimegundua kwamba ameniblock! Nakaa nikijiuliza nimemkosea nini kustahiki kutendewa hivi sielewi!kama hawezi kuwa na mimi kwanini haniambii kwamba hanitaki?kama hana mawasiliano mbona namuona online?
Sikujua kama watu wengine wamenyimwa ustaarabu kiasi hiki! Sio siri nimempenda na kumuamini sana huyu mkaka lakini naona kaniachia donda kubwa sana moyoni mwangu maana hata sielewi nimuweke fungu gani najiona -------- nilopindukia kujirahisisha na kumuamini mtu nisomjua! Au sijui ni mimi ndio na overreact na kumfatilia sana?
Nisaidieni jamani nahisi kuchanganyikiwa si ndo wendawazim huu mungu wangu!