Najiandaa kupigwa mzinga kipumbavu kabisa...

Najiandaa kupigwa mzinga kipumbavu kabisa...

Mnafik huwa anajulikana tu tena kweupeeee!!!!
Mlipo peana namba hukutushirikisha
Sasa umekosa unachotaka kwake
Unakuja na gea ati unataka kupigwa bomu,,japo unadai ati umemla lkn hilo hatuliamini
Kwasababu mlaji huwa hasemi...
Wakati anapewa number hakuwa na shida ya mawazo yako sasa ulitaka akwambie ili iweje?
Ila sasa ndo anashida ndo maana kalileta jamvini. Kama huna cha kumchangia heri ukae kimya kuliko kumuita mtu mnafiki na kujifanya mjuaji.
 
tatizo la kudate na single maza ambaye hana kipato atakugeuza baba mtoto na ikiwezekana mume kabisa kwa jinsi utakavyomuhudumia.... mkuu hawa unapita tu usiweke kambi
 
Mnafik huwa anajulikana tu tena kweupeeee!!!!
Mlipo peana namba hukutushirikisha
Sasa umekosa unachotaka kwake
Unakuja na gea ati unataka kupigwa bomu,,japo unadai ati umemla lkn hilo hatuliamini
Kwasababu mlaji huwa hasemi...
Usichoamini nini sasa Mkuu...
Single maza wangu huyuu..
 
"Where do we meet.... When and How? Kama kaongea mpk kwa lugha ya kigeni, fanya umlipe jamaa!
 
Wakuu hapa kuna single maza namuomba mchezo...

Niliwahi kula mara moja...

Sasa viashiria vyake vyoote...ni kuni 'bomu'...

Ananiambia huko aliko vyuma vimekaza...

...nawaza tu atataka sh.ngapi..

Tuombeane ..maana mi mwenyewe sina kitu.
Jiombee mwenyewe, hatutaki utushirikishe kwenye uzinzi wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom