Sio kawaida bro..Mi sihongiKuhonga kawaida mbona
Atakuwa hapo dsmHata haya huoni,kuliogopa jukum lako na kulitamka hadharani bila soni?
Kama huna mwambie huna basi.Wakuu hapa kuna single maza namuomba mchezo...
Niliwahi kula mara moja...
Sasa viashiria vyake vyoote...ni kuni 'bomu'...
Ananiambia huko aliko vyuma vimekaza...
...nawaza tu atataka sh.ngapi..
Tuombeane ..maana mi mwenyewe sina kitu.
Mwambie ajitahidi aje na mafuta laini umkamilishie ahadi yako.Wakuu ngoja ni screenshot a little part of our conversation....
Mnaweza mkajitolea kunikopesha.....View attachment 675115
Nisaidieni nijibuje hapo...msg yake ya mwisho hiyo..
Wakuu hapa kuna single maza namuomba mchezo...
Niliwahi kula mara moja...
Sasa viashiria vyake vyoote...ni kuni 'bomu'...
Ananiambia huko aliko vyuma vimekaza...
...nawaza tu atataka sh.ngapi..
Tuombeane ..maana mi mwenyewe sina kitu.
......Anglia mkuu uxje pgw kibom cha hatriiii