Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

Gharama inategemea na kazi yenyewe mkuu.
Kuna sehemu unaitwa ukajenge chemba tu fund bomba ameshaseti bomba, hapa bei inakuwa chini.
Ila kama naanza kuset bimba mwenyewe bei inakuwa juu kuliko awali.
Maxmum bei ya kujenga chemba moja(kila chemba) na kuseti mabomba ya maji taka ni bei gani?
 
Maxmum bei ya kujenga chemba moja(kila chemba) na kuseti mabomba ya maji taka ni bei gani?
Sawa mkuu, hapa nitaelezea kuhusu mimi.
Mimi chemba Moja najenga Kwa 30, zikiwa chemba nyingi mnaongea bei inapungua.
Kama naanza kuseti mwenyewe mfumo wa maji taka hapo nitaangalia mchoro mzima wa eneo husika. Lakini Kwa kuanzia ni hivyo
 
Sawa mkuu, hapa nitaelezea kuhusu mimi.
Mimi chemba Moja najenga Kwa 30, zikiwa chemba nyingi mnaongea bei inapungua.
Kama naanza kuseti mwenyewe mfumo wa maji taka hapo nitaangalia mchoro mzima wa eneo husika. Lakini Kwa kuanzia ni hivyo


Unasema 30 una maanisha nini mkuu??
 
Unasema 30 una maanisha nini mkuu??
Maana yangu ni hii, Chemba Moja ni elfu thelathini, chemba nyingi bei inapungua.

Chemba watu wanajenga mpaka elfu hamsini chemba Moja.
Nimeeleweka bila shaka
 
Maana yangu ni hii, Chemba Moja ni elfu thelathini, chemba nyingi bei inapungua.

Chemba watu wanajenga mpaka elfu hamsini chemba Moja.
Nimeeleweka bila shaka

Hapo nimekuelewa sasa wala hamna neno kabisaa mkuuu.....
 
IMG_20260327_145422_222.jpg
 
Mvua usinyeshe leo
 
IMG_20260413_172437_380.jpg

Hii ndiyo chemba, maji Wala mavi hayakai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom