🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo mkuu ulitaka niweke mboo uje ukalie ndiyo Usasa 🤣🤣Chemba la kisasa ndio lina shimo juu kama mtego wa tembo ????
Mtoto anakimbia akavunja mguu au akapiga kichwa akafia mazima ndani ya li shimo utamlipa fidia ????
We Engineer, kitu cha kisasa hapo ni kipiiiiiii ????
🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo mkuu ulitaka niweke mboo uje ukalie ndiyo Usasa 🤣🤣
Hapo kweli ni 'za kisasa' maana ukiangusha kitu bafuni kikazolewa na maji utakiokota chemba.
Mkuu naomba namba Yako ikitokea kazi uje nikupe hata kazi ya saidia fundi unisogee tofaliNije kukalia mboo ?
Sasa umeona madhara ya kujaribu kutapeli watu wenye upeo mkubwa kukuzidi ?
Chemba utadhani kibwawa cha kufugia perege. Tulikuwa tunavijenga utotoni kufugia visamaki.
Kujua kuchanganya simenti sio ndo umejua kujenga chemba.
Usipanik kaka mitandao tu hii 🤣Nije kukalia mboo ?
Sasa umeona madhara ya kujaribu kutapeli watu wenye upeo mkubwa kukuzidi ?
Chemba utadhani kibwawa cha kufugia perege. Tulikuwa tunavijenga utotoni kufugia visamaki.
Kujua kuchanganya simenti sio ndo umejua kujenga chemba.
Gharama inategemea na kazi yenyewe mkuu.Hapo kweli ni 'za kisasa' maana ukiangusha kitu bafuni kikazolewa na maji utakiokota chemba.
Unajenga kwa bei gani? (Mchanganuo materials kwa nani).