Mary Glory
Senior Member
- Mar 20, 2011
- 124
- 20
nimeifuta post
Yaweza kuwa viloba,,,,,,,,, vinabanjua kichwa vibayabayaunakunywa nini dada Mary....
ebu acha mkwara,sema shida yako 2kusave kuita2a.si bora ningekuwa nakunywa ningepoteza mawazo.lkn natamani sana kama kungekuwa na ulimwengu mwingine ningeopt kwenda kuish huko coz naona kabisa nakaribia kupata kesi ya mauaji.nasikia harufu ya damu!eeh mungu nisaidie!
Ni halisi.maudhi,ubabe dharau,wwizi,utapeli ndo vinavyochochea.sijui kama mtamwona tena hapa jf!ebu acha mkwara,sema shida yako 2kusave kuita2a.
limfaalo mtu lake na vivyo hivyo lisilofaa ni lako pia,alhamdulilaah muumba kakupa kila kitu kimfaacho mwanadamu timamu, unaamka na unalala pia unaona kusikia na hisia vile vile wazijua.Tunaweza kukupeleka mtoni na usinywe maji tutakuwa tumeshindwa kukusaidia.Jambo la maana kumbuka umezaliwa na utakufa na kila ufanyalo eti iwe kwa wadhifa, sifa, hasira au kiburi ni hakika utavilipa hapa hapa,huyo akusumbuaye si ngozi wala si moyo ati ukitoa utakufa. Jipange na ufanye maamuzi ya busara.Kumbuka we ni bado kijana na jamii na familia zinategemea ushauri wako.si bora ningekuwa nakunywa ningepoteza mawazo.lkn natamani sana kama kungekuwa na ulimwengu mwingine ningeopt kwenda kuish huko coz naona kabisa nakaribia kupata kesi ya mauaji.nasikia harufu ya damu!eeh mungu nisaidie!
Kama ni she yatakukuta tu!mhh kweli unawehuka.....nakumbuka bint fulani tulisomaga nae bweni basi kikitimka anadai kuna mkaka anamlala sijui anamfanya nini...usikute ndo weye,ulisoma Masama girls nini!
Thread nyingine bhana!! nilifanyiwa ubaya kutokana na kujaribiwa ubaya unaendelea ubaya nikamfanyia ubaya kha!! ......najaribiwa sana sana!lkn ni kutokana na mabaya mengi aliyonifanyia.nilijaribiwa kufanya vitu vingi vibaya lkn nimeishinda nafsi yangu!lkn kwa sasa najaribiwa tena kumfanyia kitu mbaya but ni kwa sababu bado anaendeleea kunifanyia mabaya.yan this time sijui kama nitaishinda nafsi yangu coz its too much jamani!
likizo??how?????Unahitaji likizo ....
Jitahidi kutujuza Dada tunaweza kuwa na msaada wa kimawazo. Hiyo harufu ya damu siyo nzuri kabisa maana hakuna linaloshindikana. Hakika mwenye kufanya mashauriano hawezi kujuta hebu jaribu uone.si bora ningekuwa nakunywa ningepoteza mawazo.lkn natamani sana kama kungekuwa na ulimwengu mwingine ningeopt kwenda kuish huko coz naona kabisa nakaribia kupata kesi ya mauaji.nasikia harufu ya damu!eeh mungu nisaidie!
We nipmJitahidi kutujuza Dada tunaweza kuwa na msaada wa kimawazo. Hiyo harufu ya damu siyo nzuri kabisa maana hakuna linaloshindikana. Hakika mwenye kufanya mashauriano hawezi kujuta hebu jaribu uone.