Najaribiwa jamani

Najaribiwa jamani

Kazi ni kwako,
wanaume wanaoleta pozi kwa mara ya kwanza huwa wakipotea wanapotea mazima na kuwa boya, huwa najiuliza alikuwa anadekea nn mwanzo
 
unavosema mapenzi yamekolea balaaa unamaanisha umependa kote kote yani sio ngono tu....

wanawake wanapenda sana adventure so.... hyu demu wako wa zamani kakupa sifa za maana kwa hao mashoga zake... so hao mashoga zake ndo wanataka kuonja kweli yaliyosemwa yamo!!

stick na wa kwanza... ndo aliyekupenda kwanza hao wengine wanafata waliyoyasikia
 
LWENYI

waambie kazi kwao..halafu utumie condom..
 
Last edited by a moderator:
Next time ukumbuke ku-summerize maana mkasa uko chin uku uko juu sijaona kitu.....kama unaomba ushauri basi m nashauri yeyote comes to your way kwa maana ya ao cjui n watatu fanya yako....May be its your time ...make it to the fullest
 
Daaaaaaaaah
Shetani anakula vichwa mwanzo mwenga.
KAZI NI KWAKO
Yaani kama Vodacom vile

Juu ya yote acha ubazazi.
Jipange uoe uachane na ukapera wa kufanza uasherati daily.
Tubu dhambi zako umrudie Muumba wako.
Ndipo Amani itakapokujilia
 
unavosema mapenzi yamekolea balaaa unamaanisha umependa kote kote yani sio ngono tu....

wanawake wanapenda sana adventure so.... hyu demu wako wa zamani kakupa sifa za maana kwa hao mashoga zake... so hao mashoga zake ndo wanataka kuonja kweli yaliyosemwa yamo!!

stick na wa kwanza... ndo aliyekupenda kwanza hao wengine wanafata waliyoyasikia

Nasema yamekolea kwake yaani ni ananifanyia almost kila kitu kwakweli.

Shukran kwa ushauri nitajitahdi niwaepuke hawa wengine ingawa yaan ni ngumu mnoo kwa mazingira wanayoniwekea
 
Next time ukumbuke ku-summerize maana mkasa uko chin uku uko juu sijaona kitu.....kama unaomba ushauri basi m nashauri yeyote comes to your way kwa maana ya ao cjui n watatu fanya yako....May be its your time ...make it to the fullest

Sawa mkuu. Noted
 
Daaaaaaaaah
Shetani anakula vichwa mwanzo mwenga.
KAZI NI KWAKO
Yaani kama Vodacom vile

Juu ya yote acha ubazazi.
Jipange uoe uachane na ukapera wa kufanza uasherati daily.
Tubu dhambi zako umrudie Muumba wako.
Ndipo Amani itakapokujilia

Sawa mkuu ndio maana nimeomba ushauri wenu nna malengo ya kuwa na familia tena siyo ya uzinzi wala michepuko
 
Sawa mkuu ndio maana nimeomba ushauri wenu nna malengo ya kuwa na familia tena siyo ya uzinzi wala michepuko

Usinung'unike mkuu.
Cha msingi fanya ya msingi.
Muombe Mungu akusaidie ufanye limfurahishalo machoni mwake na unuie kutoka ndani kabisa kuacha hizo njia zako za sasa.
 
Daaaaaaaaah
Shetani anakula vichwa mwanzo mwenga.
KAZI NI KWAKO
Yaani kama Vodacom vile

Juu ya yote acha ubazazi.
Jipange uoe uachane na ukapera wa kufanza uasherati daily.
Tubu dhambi zako umrudie Muumba wako.
Ndipo Amani itakapokujilia

Mkuu maneno yako hayo yamenigusa mimi sana tu.ntajitahidi kutubu aisee maana maisha haya hayatabiriki..asante mkuu kwa kukumbushana
 
Lwenyi mbona unajishusha thamani kiasi hiki. Unaona kabisa tanzi linakuja na ndani ya tanzi kuna mtego, wewe ni kijana hb, decent mwenye nguvu , afya njema , akili na utashi unaendekeza ngono zembe kama mbwa kaona chatu, kwa nini?

Nilikuwa na mwalimu wangu mmoja alikuwa anawaambia wanafunzi wakijibu vibaya, are you using scrotum to think? Lwenyi you must be strong kushinda tamaa za mwili ukiziendekeza utakwenda na maji.

Unauwezo wa kufanya kazi zako vizuri kwa utaratibu makini na kujiandaa vema kisha kupata binti safi kabisa utengeneze familia. Hayo tanzi achana nao kabisa. Jitathmini upya ujenge maisha yako.
 
Back
Top Bottom