Najaribiwa jamani

Najaribiwa jamani

Kazi ni kwako amua kusuka ama kunyoa katika hao mabinti watatu jichukulie mmoja ambaye moyo wako umeridhika naye ili ujirushe naye.
 
Daaaaaaaaah
Shetani anakula vichwa mwanzo mwenga.
KAZI NI KWAKO
Yaani kama Vodacom vile

Juu ya yote acha ubazazi.
Jipange uoe uachane na ukapera wa kufanza uasherati daily.
Tubu dhambi zako umrudie Muumba wako.
Ndipo Amani itakapokujilia

Safi sana mkuu
 
Nasema yamekolea kwake yaani ni ananifanyia almost kila kitu kwakweli.

Shukran kwa ushauri nitajitahdi niwaepuke hawa wengine ingawa yaan ni ngumu mnoo kwa mazingira wanayoniwekea

Acha tamaa hakuna kigumu,sifa kuu ya mwanaume ni msimamo,ukijifanya kipande kwa starehe ya dakika 5 na unakaa nao nyumba moja kwanza utakosa wote pili watakudharau tatu wataleta waume machoni pako utaumia taarabu utaimbiwa nyumba utaiona chungu,

stick na mmoja kuna maradhi siku hizi then hao wengine kata mazoea kata kukaa nao kaa na mpenzio tu keep distance na hao wengine,utajisikiaje huyo msichana wako akawa anashinda na mtu aliemtongoza hapo ndani???
 
Da! nimewamiss ila ndio hivo tena majukumu, hata sijasoma mkuu, pole kwa hilo jaribu.
 
Samahani LWENYI, wewe msichana au wakiume....???
 
Last edited by a moderator:
Kazi ni kwako....

Kama all you want is sex and you care less about its consequences in your relationship then give them what they've been asking for...

If on the other hand you wanna be a 'nice' guy then refrain from doing so.

Whichever path you choose, proceed with caution. I sense a trap that you are already halfway into.

Thank you for the advice
If all i want is sex then i could hav slept with all of them long ago

But i still want to preserve my reputation & all i want is the way i can escape the rest.
 
LWENYI

Yaani wanawake watatu wanakaa pamoja chumba kimoja? Maisha magumu hawawezi kupanga chumba mmoja mmoja au ni uchuro? ushauri wangu hawafai hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii nyumba ni karibu na kwenye shughuli zangu na isitoshe terms zake ziko favourable sana kwangu[/QUOTE
Hiyo nyumba naona una bahati nayo
si ajabu na mke utapata hapohapo
kwa mwenendo huu.
 
Thank you for the advice
If all i want is sex then i could hav slept with all of them long ago

But i still want to preserve my reputation & all i want is the way i can escape the rest.

Then you shouldn't have slept with any of them in the first place, no matter how desperate they seemed.

Women make excellent liars. Masters of deception. How sure are you that you are not being deceived?
 
kama humna mpango naye we mpotezee....akizidisha basi mchane makavu...
akichukia poa ilimradi aache hako katabia.
 
Kaka usiumize kichwa hapo chagua wa kua anakuoshea vyombo, wa kukufulia nq wa usafi. Halafu waambie kabla ya kulala nao kua kuna mtu ambae inqbid awajaribu ambae ni mimi. Ntawajaribu kama wapo poa then ntakupa go ahead. Namba zangu nakutumia now
 
Back
Top Bottom