Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,813
- 59,302
siku Lizzy atakapotetea cheating....lol
Hahahahhaha.
Boss jiandae kusubiri milele aisee. . can you do that?
siku Lizzy atakapotetea cheating....lol
shhhh usiseme kwa nguvu akikuibukia??
siku jukwaa la MMU Litakapoondolewa hapa JF
aiseee... ngoja nikaione hiyo post..... na niasubiri siku Lizzy atakapohitimisha mwezi mzima bila kukanyaga JF (si kwa ban)
Kuvamia kivije? Kuiba? Manake king' sio mwizi na akiokota simu ya mchina anaenda km 10 kupeleka kituo cha polisi.
Ila AshaDii anavyonipenda, sijui nini kitamfanya anichenjie, nathubutu kujisifia,lol
Nasubiri siku King'astI utakaponipa bunduki
Nasubiri siku king'asti utakapouza shamba lako la majani kule Aru Meru
hahahah nadhani ukinyoosha tu iyo bunduki yako yeye ndo kwanza anakuhug!! Lol....kama nawaona vile na sare zenu za mgambo!!!
mi simo.... au ulimaanisha Kongosho na TB?
1. siku ya MS kuchukua kadi CDM
2. Siku ya MS kawa Mkristo
3. Siku ya Makamba na Lema kubadilishana vyama
4. siku ya Kongosho kupost kwenye jukwaa la siasa
5. siku ya waberoya/kiranga/mwita25 kuanzisha thread kwenye udaku!!
6..............................
wewe unaisubiri siku ipi kwa hamu hapa JF?
siku azam inachukua ubingwa wa ligi kuu!!